Kwanini mkutano wa CHADEMA umekosa mvuto?

Kwanini mkutano wa CHADEMA umekosa mvuto?

Ulitaka urushwe live kama wa watu wasiojiamin? Jipange upya
 
Watu wanaakili finyu mkutano na mvuto wapi na wapi?
Nyie vijana sikuhizi akili zenu zimeathiriwa kwa kukosa lishe bora basi ndiyo munaropoka tu nakusamehe bure siyo kosa lako duh njaa mbaya sana
 
Assalam alyekum wana jf natumaini ni wazima wa afya.Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo,chama kikuu cha upinzani chadema wanafanya mkutano huko Dodoma Lakini mkutano huo kama hauna ushawishi.Je wewe unadhani kwa nini,karibuni kwa mawazo yeni
Kwa aina ya majibu uliyoyapata 85% ya JF members ni makada wa chadema huku ndiko walikojificha.. ndio maana haishangazi chochote kila serikali itakachofanya kwao ni kibaya..
sbbu wana ajenda yao binafsi sio kama Taifa.
 
Assalam alyekum wana jf natumaini ni wazima wa afya.Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo,chama kikuu cha upinzani chadema wanafanya mkutano huko Dodoma Lakini mkutano huo kama hauna ushawishi.Je wewe unadhani kwa nini,karibuni kwa mawazo yeni

Unaposema mvuto unamaanisha nn? Au coz hakukuwa band ya mziki na wasanii wa bongo fleva, content ya mkutano umeilewa?
 
Assalam alyekum wana jf natumaini ni wazima wa afya.Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo,chama kikuu cha upinzani chadema wanafanya mkutano huko Dodoma Lakini mkutano huo kama hauna ushawishi.Je wewe unadhani kwa nini,karibuni kwa mawazo yeni

Ili uwe na mvuto ulitaka wawaalike akina ray na akina anty ezekiel?
 
Assalam alyekum wana jf natumaini ni wazima wa afya.Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo,chama kikuu cha upinzani chadema wanafanya mkutano huko Dodoma Lakini mkutano huo kama hauna ushawishi.Je wewe unadhani kwa nini,karibuni kwa mawazo yeni
Umetumia kipimo gani?
 
Assalam alyekum wana jf natumaini ni wazima wa afya.Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo,chama kikuu cha upinzani chadema wanafanya mkutano huko Dodoma Lakini mkutano huo kama hauna ushawishi.Je wewe unadhani kwa nini,karibuni kwa mawazo yeni
kila mmoja amekuzodoa!
 
Assalam alyekum wana jf natumaini ni wazima wa afya.Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo,chama kikuu cha upinzani chadema wanafanya mkutano huko Dodoma Lakini mkutano huo kama hauna ushawishi.Je wewe unadhani kwa nini,karibuni kwa mawazo yeni
kila mmoja amekuzodoa!
 
Assalam alyekum wana jf natumaini ni wazima wa afya.Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo,chama kikuu cha upinzani chadema wanafanya mkutano huko Dodoma Lakini mkutano huo kama hauna ushawishi.Je wewe unadhani kwa nini,karibuni kwa mawazo yeni
Makapi ndio sababu ya kupoteza mvuto kwa cdm
 
Kwa sababu mashabiki wao mfano wa humu wamechoka kuwasikiliza na kuwafatatilia, wao wanapenda ya Mh. Magufuli na serikali yake kwa sanaaaaa.

Yaani wameona viongozi wao hawana jipya, naandika hivibkwa kuwansioni hata labda watu 5 wakifungua threads then hata zikaungwa kuzungumzia ya mkutano.

Wa humu wengiiiii ni mashabiki waliokumbwa na ya hapa kazi tu ya awamu ya tano, kwa njia tofauti tofauti na wanaisoma namba na wengine wanasaga meno kabisaaaaa.

Subiri kitu cha kuiongelea serikali vibaya au wakiota na kutaka isumbuliwa hapo kula mtu ni expert wa hoja....ha ha ha haaaaaaaa

Chadema kwishney, Dr. Slaa aliondoka nayo

Wadau wengi wanaoiponda CCM na serikali yake ni mashabiki na sio wanachama kabisaaaaaa hawana hata kadi zao, kufata mikumbo tu kwa kuisoma namba. Wakija kutambua JPM aliwatakia wajue iusaka kihalali pesa watamuelewa tena karibuni.
 
Kwa aina ya majibu uliyoyapata 85% ya JF members ni makada wa chadema huku ndiko walikojificha.. ndio maana haishangazi chochote kila serikali itakachofanya kwao ni kibaya..
sbbu wana ajenda yao binafsi sio kama Taifa.
Ni kweli ni kama mtoa mada anauliza kwa idadi yao humu jf mbona haoni mathread ya kutosha kuhusu mkutano mkuu wa Chadema....
 
Kwa aina ya majibu uliyoyapata 85% ya JF members ni makada wa chadema huku ndiko walikojificha.. ndio maana haishangazi chochote kila serikali itakachofanya kwao ni kibaya..
sbbu wana ajenda yao binafsi sio kama Taifa.
Na weye jiulize kwa nini wana mawazo mfanano wakati hawajuani, wanatumia id batili na wanaishi sehemu tofautitofauti duniani? Think big!
 
hata mlipoambiwa tunaibiwa mlikuwa mnabisha nyinyi mmezoea kuimbiwa nyimbo na sherehe
 
Assalam alyekum wana JF, natumaini ni wazima wa afya.

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo, chama kikuu cha upinzani CHADEMA wanafanya mkutano huko Dodoma lakini mkutano huo kama hauna ushawishi.

Je wewe unadhani kwa nini?

Karibuni kwa mawazo yenu
Ungekuwa wa kwanza wewe kutuambia ni kwanini,,au ni kiki ya kupata buku7[emoji28]?
 
Back
Top Bottom