Kwanini mkutano wa CHADEMA umekosa mvuto?

Kwanini mkutano wa CHADEMA umekosa mvuto?

Yaani badala ya kutoa mawazo ya nini kifanyike mnanishambulia Mimi nilioleta mada,kweli bavicha hamna kwa kushika kwa hawamu hii
Sasa hivi JPM anawapeleka mputa, wanashika hili Jamaa katoka na lingine wakifika JPM kaisha funga bao watakoma
 
Sasa hivi JPM anawapeleka mputa, wanashika hili Jamaa katoka na lingine wakifika JPM kaisha funga bao watakoma
JPM anawakimbiza sana suala la makanikia ya madini halijaisha anaweka la IGP siro bavicha hawajui nini cha kushika kipi cha kuacha
 
Back
Top Bottom