Kwanini mkutano wa CHADEMA umekosa mvuto?

Kwanini mkutano wa CHADEMA umekosa mvuto?

Mtoa. Mada usitake kugombana bavicha bure watakutolea mapovu kama ya sabuni ya omo mtu akianza kufirisika huwa hajijui ila wateja ndio wanajua watakapofikia kugawana Mbao ndio watajitambua chama kinaendelea kuwa doro hakuna asiyejua kikao cha baraza kuuu wanaitana kwa mafungu wajumbe wengine wanaambiwa hamstahiri lakini hayo bavicha hawa yaani na hawaoni ni uvunjifu wa katiba na hakuna anayehoji wamebaki kuitikia power
 
Hawana hoja tena
Chadema inaelekea shimoni,

Kwel mbio za sakafuni
 
  • Thanks
Reactions: nao
Mkutano hauna ushawishi? Wajumbe halali wa mkutano wameususia? Au ulikuwa ni mkutano wa hadhara halafu hawakupiga nyomi? Fafanua mkuu tupate mwanga.
Kama ilivyo mikutano ya huko mwanzo kila kona nchi na dunia wangejuwa kuwa chadema wanafanya mkutano Lakini kitu kama hicho hakuna kwa mkutano huu
 
Kwani walikuwa wanaendesha kipindi cha Cherekochereko na kutafuta wachumba hadi wawe na mvuto? Halafu mbona wenyewe siyo pesa,, sasa wawe na mvuto gani? Au kusema ni vigori hadi wawe na mvuto? Better be specific and to the point!
Mkutano wao umekosa hamasa kwa wananchi yani utasema hakuna kinachoendelea kule Dodoma
 
Kwa aina ya majibu uliyoyapata 85% ya JF members ni makada wa chadema huku ndiko walikojificha.. ndio maana haishangazi chochote kila serikali itakachofanya kwao ni kibaya..
sbbu wana ajenda yao binafsi sio kama Taifa.
Ilo ni kweli kabisa unachosema
 
Kwa aina ya majibu uliyoyapata 85% ya JF members ni makada wa chadema huku ndiko walikojificha.. ndio maana haishangazi chochote kila serikali itakachofanya kwao ni kibaya..
sbbu wana ajenda yao binafsi sio kama Taifa.
Ouch, no wonder!
 
Yaani badala ya kutoa mawazo ya nini kifanyike mnanishambulia Mimi nilioleta mada,kweli bavicha hamna kwa kushika kwa hawamu hii
 
Kwa sababu mashabiki wao mfano wa humu wamechoka kuwasikiliza na kuwafatatilia, wao wanapenda ya Mh. Magufuli na serikali yake kwa sanaaaaa.

Yaani wameona viongozi wao hawana jipya, naandika hivibkwa kuwansioni hata labda watu 5 wakifungua threads then hata zikaungwa kuzungumzia ya mkutano.

Wa humu wengiiiii ni mashabiki waliokumbwa na ya hapa kazi tu ya awamu ya tano, kwa njia tofauti tofauti na wanaisoma namba na wengine wanasaga meno kabisaaaaa.

Subiri kitu cha kuiongelea serikali vibaya au wakiota na kutaka isumbuliwa hapo kula mtu ni expert wa hoja....ha ha ha haaaaaaaa

Chadema kwishney, Dr. Slaa aliondoka nayo

Wadau wengi wanaoiponda CCM na serikali yake ni mashabiki na sio wanachama kabisaaaaaa hawana hata kadi zao, kufata mikumbo tu kwa kuisoma namba. Wakija kutambua JPM aliwatakia wajue iusaka kihalali pesa watamuelewa tena karibuni.
Hilo nalo ni Neno haswa!
 
Haya wahi lumumba ukachukue mgao wako wa rambi rambi.
Ndo majibu yenu mepesi ivo ivo
Hata hoja zenu zimekuwa nyepes vilevile.

Kimsingi magu kawashika pabaya, watanzania walikuwa wanawafatilia saana sababu mlikuwa mna point za kuikosoa serikali ya Jakaya, lakini now days kama huna hoja yenye mashiko Watzed wanawakaushia tuu

Asa mambo ya kumsapoti uhuru unaenda yaelezea African dreams Dodoma ili iweje?

Si wakazi wa Dom wala watanzania walitegemea kusikia hicho

At least angejikita kwenye mchanga na namna ya kuepusha wizi wa rasilimali tungemwelewa.

Zito anawapiga bao
Kongamano la uzalendo on fleeek

Kweli mwisho wa ujanja ujanja JUNE

[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Ndo majibu yenu mepesi ivo ivo
Hata hoja zenu zimekuwa nyepes vilevile.

Kimsingi magu kawashika pabaya, watanzania walikuwa wanawafatilia saana sababu mlikuwa mna point za kuikosoa serikali ya Jakaya, lakini now days kama huna hoja yenye mashiko Watzed wanawakaushia tuu

Asa mambo ya kumsapoti uhuru unaenda yaelezea African dreams Dodoma ili iweje?

Si wakazi wa Dom wala watanzania walitegemea kusikia hicho

At least angejikita kwenye mchanga na namna ya kuepusha wizi wa rasilimali tungemwelewa.

Zito anawapiga bao
Kongamano la uzalendo on fleeek

Kweli mwisho wa ujanja ujanja JUNE

[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]

Hata wewe na huyo mleta uzi wote hamna hoja, unazungumzia mvuto wa mkutano wa ndani kwani yalikuwa mashindano ya urembo yale? Hivi huko Lumumba mnafundishana ujinga tu?
 
Assalam alyekum wana JF, natumaini ni wazima wa afya.

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo, chama kikuu cha upinzani CHADEMA wanafanya mkutano huko Dodoma lakini mkutano huo kama hauna ushawishi.

Je wewe unadhani kwa nini?

Karibuni kwa mawazo yenu
Sahihi mkuu, magazeti yote yamewapotezea
 
Kwani walijadili mambo
Assalam alyekum wana JF, natumaini ni wazima wa afya.

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo, chama kikuu cha upinzani CHADEMA wanafanya mkutano huko Dodoma lakini mkutano huo kama hauna ushawishi.

Je wewe unadhani kwa nini?

Karibuni kwa mawazo yenu[/QUOTE
Assalam alyekum wana JF, natumaini ni wazima wa afya.

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo, chama kikuu cha upinzani CHADEMA wanafanya mkutano huko Dodoma lakini mkutano huo kama hauna ushawishi.

Je wewe unadhani kwa nini?

Karibuni kwa mawazo yenu
Kwani walikuwa wanajadili mambo gani mbona hatuyajui?
 
Back
Top Bottom