gwang taek
Member
- May 5, 2014
- 68
- 117
Habari zenu wadau wenye akili nyingi.
Hata msipoitikia me nazama kwenye swali moja kwa moja.
Ni hivi kwann mkoa wa pwani wenye wilaya kadhaa kama Kisarawe, Mkuranga, Bagamoyo,kibaha na rufiji unakosa japo hata MANISPAA?
Ikiwa ndo mkoa wenye viwanda vingi kwa sasa na pia upo jirani na jiji kubwa la DSM (kibiashara) na Moro(kilimo) je shida ni Uzaramu, Ukwere na undengereko?
Hata msipoitikia me nazama kwenye swali moja kwa moja.
Ni hivi kwann mkoa wa pwani wenye wilaya kadhaa kama Kisarawe, Mkuranga, Bagamoyo,kibaha na rufiji unakosa japo hata MANISPAA?
Ikiwa ndo mkoa wenye viwanda vingi kwa sasa na pia upo jirani na jiji kubwa la DSM (kibiashara) na Moro(kilimo) je shida ni Uzaramu, Ukwere na undengereko?
