Mugo"The Great";130394 said:Nahisi hata Muungwana na EL ni sehemu ya ufisadi. Tangu lini Kesi ya Ngedere hakimu awe nyani? After all inaonekana walifaidika na mapesa yalichotwa BoT.
Wizi ni wizi tuu,haijalishi mtu katumia mtindo gani kwiba.Kwani hao akina JITU PATELI NA WENGINE walivunja benki?