Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,433
- 11,747
Sipati picha maneno hayo Kama angeyasema mpinzani angeambiwa ni mchochezi, angeshawekwa kizuizini na kufunguliwa kesi na kuandamwa huku na kule ! Ndege wote ni wa Mungu , Kwa nini aliapo Bundi ndo ionekane kuwa mkosi? Udhalimu ni Chukizo machoni pa Muumba!