Nyangomboli
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 3,501
- 1,955
Jiulize kwanza swali hili; alisema hayo maneno akiwa wapi na kwa sababu zipi? Kama aliyasema hayo maneno kuwajibu waliosema wanataka kukomboa Nchi ambayo ilishakombolewa years ago then he was right. Maana waliokuwa wanazungumzia ukombozi ni watu na Elimu zao tena na exposure kubwa. Kama wewe ni msomi na usifahamu kuwa nchi ilishakombolewa 1961 basi ni mpumbavu kweli. Maana umesoma na kusoma na kila kitu kiko wazi lakini usigundue kama tulipata uhuru mwaka 1961. Ni Upumbavu kweli.Habari wadau!
Nashindwa kuelewa kwa mara ya pili lro Mkapa kasema kuwa Watanzania ni Wapumbavu kwa kuweza kujenga nyumba za watumishi wa sekta ya afya na kuongezeka kwa takwimu za afya kadai UPUMBAVU WETU UTAPUNGUA.
Sijajua watanzania tuko wapumbavu kwenye lipi?
Je ni kweli kauli ya Kenyata baba ya watanzania tuko kama Maiti hata tukiamshwa hatuwezi amka?
Maana ya neno Pumbavu yaani hata uelimishwe vipi huwezi kubadilika hata kwa dawa ila mjinga ni kwamba hujui ila ukielekezwa au kufahamishwa ujinga unakutoka ila upumbavu hautoki kabisa.
Sasa labda wanaojua sie ni wapumbavu wa kitu gani au sie ni maiti.
Havome