Kwanini mimi sipati wangu...!

Kwanini mimi sipati wangu...!

Miaka 28 bado sana kwa kijana wa kiume punguza spidi muda wako ukifika utampata inawezekana wengi wanakuona bado hujakomaa kwa mikiki mikiki ya ndoa. Ndoa ina mambo mengi kijana usiikimbilie kama hujajiandaa katika nyanja zote za kimwili, kiakili na kiroho, mtangulize Mungu na uwe na subira. Muombe Mungu huku ukitenda kama atakavyo, sio kufanya dhambi na kutegemea msaada wa Mungu hapo utakuwa unajidanganya kumpata mke mwema.
 
Pia unaweza kuwa na matatizo mawili, either una aibu kwa hawa bidadas au unachagua mno yaani ukumuona unamtafakari sana then unapotezea unaona km si yy yupo mwnywe. Kwn hata umuombe Mungu hawezi kktongozea, ila amekupa akili na utashi wa kutambua na kuchagua, just do it!

Kule kwetu nyanda za juu kusini mdesi maana yake mwongo....huwa napata kigugumizi kusoma post zako maana huwa nahisi ni za uongo lol...
 
Miaka 28 bado mdogo, hasa kwa sisi wanaume..! Usiwe na papara, nenda taratibu hakika utapata ubavu wako..!!
 
Huwa hauruhusiwi kutoka nyumbani ama? Tafuta haraka aisee, 28yrs bado huna mahusiano yanayoeleweka, watu kweli tunatofautiana
 
kumbe wewe ni msukuma ninavyoshobokea wasukuma wewe acha tu

basi inabidi awe amakini awe na maombi Mungu atampa yule atokaye kwake asikate tamaa

Ndio maana nataka tumpe ushauri maana hata mimi msukuma,amejisifia ana vyote,ila wasukuma wenzangu nawajua
 
Wa kutulizwa hata humu tafuta tu utampata, wenzio wanatawatafuna kila mara
 
Changamoto nyingine ninayokumbana nayo ni kuwa " kila ninaye muona anafaa, nikimuapproach anadai yupo na mtu tayari" hapo ndo nachoka kabisa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom