ng`wana ong`wa kulwa
JF-Expert Member
- Mar 14, 2013
- 2,420
- 1,754
Wa kutulizwa hata humu tafuta tu utampata, wenzio wanatawatafuna kila mara
salama shemi avatar mbona unabadilisha kila siku unataka umkwepe baba Ngina?
Wa kutulizwa hata humu tafuta tu utampata, wenzio wanatawatafuna kila mara
Mungu nisikie dua yangu NGOSHA mimi
Nani kakwambia mwanaume anazeeka?Habari zenu Wana JF ,
Mimi ni kijana wa kiume, kwa muda sasa nimekuwa nikitafuta rafiki wa kike ambaye hapo baadae atakuwa mwenza wangu!
Ninachoumia ni kwamba sifanikiwi pamoja na kumshirikisha Mungu pia, najiuliza Maswali mengi!
Kama Mungu amenijaalia elimu, kazi na afya njema kwanini katika hili maombi yangu hayatimii? Nisaidieni wadau, wapi nakosea? Nimechoka na upweke, na umri nao unasogea!
Kule kwetu nyanda za juu kusini mdesi maana yake mwongo....huwa napata kigugumizi kusoma post zako maana huwa nahisi ni za uongo lol...
Sina haja ya kuhurumiwa, Bali nahitaji kupendwa kwa mantiki ya dhamira ya kweli ya mtu@ toria! Rikardo kaka, kuhusu hofu yako, hilo halina kuuliza!!!!!
Unapoona umechoka ushindi wako ndo umekaribia, usikatee tamaa.Huo umri usikutishe bado sana.
Hahahahaa....sio huko mkuu...
Kule kwetu nyanda za juu kusini mdesi maana yake mwongo....huwa napata kigugumizi kusoma post zako maana huwa nahisi ni za uongo lol...
Wa kutulizwa hata humu tafuta tu utampata, wenzio wanatawatafuna kila mara
Changamoto nyingine ninayokumbana nayo ni kuwa " kila ninaye muona anafaa, nikimuapproach anadai yupo na mtu tayari" hapo ndo nachoka kabisa
hahahahaaa we ni twilumba kumbe
Sijui kwingine...jiografia yangu imeishia hapo! Auuuu na kwa wu! wu! ni nyanda hizo!??