Nokia83
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 24,646
- 44,228
Mbali sana hukontaongeza2018 nataka wawili wengine!
Mbali sana hukontaongeza2018 nataka wawili wengine!
mbali wapi?!!!Mbali sana huko
mwakani ndio vzr....mbali wapi?!!!
mwakani hapana!
km we ndo baba!mwakani ndio vzr....
2018 mbaaali sana
Mm mdio nataka kuwa babakm we ndo baba!
haaa....!!Mm mdio nataka kuwa baba
Umeshawahi kumuona mwanaume akilia akiachwa?Ok hii ni dunia ya mwaume, si ndiyo?
Ah!siamini hata wewe una michepuko tena zaid ya 10 duh!Ninapinga kabisha hii hoja, wengine tuna michepuko 10 sasa tuhalalishwa vipi?
Nn sasa?!...mm sifai kuwa baba?!haaa....!!
unafaa tu.. siwezi sema hufai akati sikujuiNn sasa?!...mm sifai kuwa baba?!
Hutaki kunijua tuunafaa tu.. siwezi sema hufai akati sikujui
kwa nini?Hutaki kunijua tu
Sijui mwnyw unajenga ukuta katikatikwa nini?
Leo umeniamulia kaah!Sijui mwnyw unajenga ukuta katikati
Hutak kurahisisha mambo
Mm kila siku nipo naww basi tu hutaki kunielewaLeo umeniamulia kaah!
Kweli kabisa, tunajifunza tu kuridhika, but haimaanishi kuwa we don't want more and more
Tuseme ni kweli. Ila tamaa zinakuwa developed kutokana na mazingira, utashi, malezi/makuzi, n.k. Na walisema wahenga, tamaa isizidi uwezo.
Tamaa ziko ndani ya uwezo wa binadamu yeyote mwenye akili timamu. Unatamani unachostahili, na kuweza kukipata. Haileti maana kuwa probox, halafu nitamani attention na treatment anayopata phantom.
Kama nina uwezo wa kukipata why not?
So usizuie upande mwingine, kama kuchepuka kunaruhusiwa basi turuhusiwe wote tu, after all tusiporuhusiwa mtachepuka na nani?
Kama inakuuma basi jua na mwenzio inamuuma hivyo hivyo.