Roger Sterling
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 13,012
- 23,613
Inawezekana ni ubinafsi, pengine upumbavu, ila nipe nafasi ya kuelezea.
Ki-DHANA
Hakuna mwanaume mwaminifu kwa mpenzi mmoja(All men cheat): Hii dhana imeletwa na kusisitizwa na wanawake wenyewe, na hakuna jinsi unaweza kuwafanya wakubali kuwa ni potofu. Kwao, wanaume tumezaliwa na vinasaba vya kutoridhika na mwanamke mmoja, pengine ni kweli. Sasa basi, kama tayari hatuaminiki, kuna haja gani ya kujaribu? Na kama ndivyo tulivyoumbwa, kwa nini tuhukumiwe?
KIMAHESABU.
Kitakwimu, duniani wanawake ni wengi zaidi ya wanaume. Na kuna msemo ambao pia umeanzishwa na hutumiwa na wanawake kuwa "wanaume wazuri wameshachukuliwa(all good men are taken)". Wewe mama ambaye una bahati ya kuwa kwenye ndoa/uhusiano na mwanaume wako, hebu jaribu kuwa katika viatu vya yule ambaye amekosa kwa sababu tu jamaa alikuona wewe kabla yake. Kwa nini msiache ubinafsi na kuchangia hicho hicho kidogo kilichopo?
Hapo hapo katika hesabu; kwa wale wanaoamini katika biblia (sina uhakika kuhusu vitabu vingine), imeandikwa kuwa mwanamke ametoka katika ubavu wa mwanaume ("Then the LORD God made a woman from the rib he had taken out of the man, and he brought her to the man."). Sasa piga hesabu mwanaume ana mbavu ngapi, na hiyo ndiyo idadi ya wanawake ambao anaweza/alistahili kuwamudu.
Ki-BAOLOJIA.
Kuna sababu kadhaa za kibaolojia zinazoashiria wanaume hawakutakiwa kuwa na mpenzi mmoja pekee. Moja ni suala la hedhi. Kila mwezi wanawake waliokwisha vunja ungo, huingia katika siku zao ambazo si salama wala haishauriwi kushiriki ngono. Ukizingatia kuwa wanaume mahitaji yetu ya kingono ni zaidi ya ya wenzetu(hatukujiumba hivyo), ni haki kuwa na back-up ili ikitokea tumezidiwa na ni moja kati ya siku za hatari za mmoja wa wapenzi wetu, tuweze kuhudumiwa.
Vivyo hivyo katika suala/kipindi cha uzazi.
Pia wanawake hupoteza hamu na uwezo wa kushiriki tendo kadiri umri unavyosogea, tofauti na wanaume.
Ki-DHANA
Hakuna mwanaume mwaminifu kwa mpenzi mmoja(All men cheat): Hii dhana imeletwa na kusisitizwa na wanawake wenyewe, na hakuna jinsi unaweza kuwafanya wakubali kuwa ni potofu. Kwao, wanaume tumezaliwa na vinasaba vya kutoridhika na mwanamke mmoja, pengine ni kweli. Sasa basi, kama tayari hatuaminiki, kuna haja gani ya kujaribu? Na kama ndivyo tulivyoumbwa, kwa nini tuhukumiwe?
KIMAHESABU.
Kitakwimu, duniani wanawake ni wengi zaidi ya wanaume. Na kuna msemo ambao pia umeanzishwa na hutumiwa na wanawake kuwa "wanaume wazuri wameshachukuliwa(all good men are taken)". Wewe mama ambaye una bahati ya kuwa kwenye ndoa/uhusiano na mwanaume wako, hebu jaribu kuwa katika viatu vya yule ambaye amekosa kwa sababu tu jamaa alikuona wewe kabla yake. Kwa nini msiache ubinafsi na kuchangia hicho hicho kidogo kilichopo?
Hapo hapo katika hesabu; kwa wale wanaoamini katika biblia (sina uhakika kuhusu vitabu vingine), imeandikwa kuwa mwanamke ametoka katika ubavu wa mwanaume ("Then the LORD God made a woman from the rib he had taken out of the man, and he brought her to the man."). Sasa piga hesabu mwanaume ana mbavu ngapi, na hiyo ndiyo idadi ya wanawake ambao anaweza/alistahili kuwamudu.
Ki-BAOLOJIA.
Kuna sababu kadhaa za kibaolojia zinazoashiria wanaume hawakutakiwa kuwa na mpenzi mmoja pekee. Moja ni suala la hedhi. Kila mwezi wanawake waliokwisha vunja ungo, huingia katika siku zao ambazo si salama wala haishauriwi kushiriki ngono. Ukizingatia kuwa wanaume mahitaji yetu ya kingono ni zaidi ya ya wenzetu(hatukujiumba hivyo), ni haki kuwa na back-up ili ikitokea tumezidiwa na ni moja kati ya siku za hatari za mmoja wa wapenzi wetu, tuweze kuhudumiwa.
Vivyo hivyo katika suala/kipindi cha uzazi.
Pia wanawake hupoteza hamu na uwezo wa kushiriki tendo kadiri umri unavyosogea, tofauti na wanaume.