Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 82,044
- 158,740
Wa ndoto zangu sina uwezo maana labda nimuumbe, kwahiyo ili litimie inabidi wawe kama wanne hivi.Kwa hiyo una uwezo wa kumpata mwanaume wa ndoto zako, sio?
Na ukisema tutachepuka na nani, nadhani umesahau kuwa mpo wengi kutuzidi. So tutachepuka na wale watakaobaki bila wenza.
Hao walozidi unaweza kuta ni watoto au wazee, kwahiyo hapo kati tutabanana tu hadi kieleweke.