huo ni ujinga na ukosefu wa akili na adabu overSasa ni dhahiri kwamba Rais Magufuli hana urafiki na Membe kwanza naweza hata kwenda mbali kuita maadui, sasa swali langu kwa nini Membe na watu wake hawampi Magufuli pigo moja litakalommaliza kisiasa?
Kwanini hawaaniki hata kwa siri tu ushahidi wa kupigwa risasi Tundu Lissu na Serikali yetu kama wanavyodai? Tatizo ni nini?
Nina uhakika hili litamdondosha Magufuli nje na ndani, Tundu Lissu atatembea kifua mbele kwa Mzungu na ushahidi, hapa nyumbani ukweli utajulikana na itakuwa game over. Sasa kwanini hawafanyi?
Tundu Lisu hahitaji majira, anapata shida kujitetea huko kwa Muzungu, hivyo hakuna wakati ambapo angehitaji ushahidi wa kuhusika kwa Serikali yetu kama sasa, kwani angepeleka hata UN huo ushahidi kama angekuwa nao.
Hakuna wa kusahau ukweli.
Serikali inavyotafuta sifa+kuua upinzani
Wangekua CDM ndo wamemuua, siwangehakikisha wanawajua nakuwakamata wote walohusika???
CDM inanguv gan ya kuuficha ukweli wa tukio kama lile?????
Lissu hana shida yeyote.... wenye shida ni wale waliomnyima haki zake wakidhani angepata shida lakini sasa hivi hofu zimewajaa hawajui what's next!
Good one keep it on!Dua na mtoa thread wana uhusiano?
wewe unajenga nchi au umekalia kukwiba tu?Hofu unayo wewe unayewewesekaweweseka kuandika hapa JF. Tanzania ni nchi huru wewe endelea na majungu. Ushahidi huna umekalia majungu, wenzio tunajenga nchi.
wewe unajenga nchi au umekalia kukwiba tu?
rudisheni 1.5tr zetu or else....
1.5tr nitaifahamia wapi wakati Wakolomije wameikwiba tayari na wanagawana kama njugu?Sasa hapa umeandika nini au hoja ni ipi? Usikariri tu hiyo 1.5 tr, unaifahamu? Wacha kuwewesekaweweseka tu. Majungu hayakufai umeshakuwa mkubwa sasa.
Wacha porojo wewe, Hapa kazi tu!1.5tr nitaifahamia wapi wakati Wakolomije wameikwiba tayari na wanagawana kama njugu?
tunawasubiri Wakolomije warudi mtaani 2020 watazitapika zote shubamit!!
sema "hapa upigaji tu".Wacha porojo wewe, Hapa kazi tu!
sema "hapa upigaji tu".
tunasubiri Novemba 2020 mtakapokuwa mnapata kibano kule Segerea nyambaf!
Ninyi ndo wale mashabiki wa ccm mnaorusha mpr cdm kuwa ndo wamehuska kumshambulia TLWaliomshambulia TL ni Chadema wacha kupotosha, hata Wangwe walikuwa wamemuwekea njama tafakari?
sina "mate" mwizi mimi....unikome!!On your dreams mate!
Ninyi ndo wale mashabiki wa ccm mnaorusha mpr cdm kuwa ndo wamehuska kumshambulia TL
Shame on you
sina "mate" mwizi mimi....unikome!!
Ntoe ushahd wann wakat ata ww mwnyw unaujuaUmekaririshwa kama kasuku. Toa ushahidi wacha majungu.
Ntoe ushahd wann wakat ata ww mwnyw unaujua