Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,786
- Thread starter
- #81
kila jambo na majira yake...
Tundu Lisu hahitaji majira, anapata shida kujitetea huko kwa Muzungu, hivyo hakuna wakati ambapo angehitaji ushahidi wa kuhusika kwa Serikali yetu kama sasa, kwani angepeleka hata UN huo ushahidi kama angekuwa nao.