tofyo
JF-Expert Member
- Jul 18, 2013
- 2,759
- 768
- Thread starter
- #41
So what Tofyo? Ili iweje? Ndiyo ujanja, au??
Kwa kuwa wewe uko ktk kila mtandao wa kijamii unajiona mjanja saaaana siyo? Sometimes we need to think first before posting anything in forums like this, otherwise utaishia kutukanwa tu bila sbb na kwa jambo ambalo ungeweza kuliepuka na kuishia kuwaona wanajukwaa wenzako si wastaarabu kumbe wewe ndiye uliyeanza kuutupa huo ustaatabu!!
Sawa, jukwaa hili ni huru na kila mtu ana uwezo na uhuru wa kutoa hoja yeyote ili mradi havunji sheria, lakini not this way!!
BTW, mama yako, dada/kaka zako na pengine akiwemo m/kiti na katibu wa chama chako CCM? CUF? ACT? ADC au NCCR Mageuzi? then uliza swali lako
Kuhusu kutukanwa kwasababu ya kuhoji UKARIBU WA M/KITI NA JAMII INAYOMZUNGUKA KUPITIA UTANDAWAZI ni sawa uonevu.
Kuhusu kuhoji nduguzangu uliowataja na viongozi wa vyama ulivyovitaja sio haja yangu.
HAJAYANGU NI, KWANINI MBOWE HAPATIKANI KWENYE MITANDAO YA KIJAMII.SWALI LINAWEZA KUWA DOGO LAKINI MAJIBUYAKE YAKAWA 1,2,3......9 n.k.