tofyo
JF-Expert Member
- Jul 18, 2013
- 2,759
- 768
Nimejaribu kuuliza watu wengi kwamba kwanini Mwenyekiti wa Chadema hapatikani au ni nadra kumpata kwenye mitandao ya kijamii, ambayo imejaa wadau na wapenzi wengi wa siasa.
Nikapata majibu lakini sikuridhika nayo,wengine wakadai mkasa wa Chacha Wangwe utamtoa mchezoni,wengine wakadai eti jamaa hana falsafa nzuri ya uandishi yeye huwa ni mzuri anapokuwa nyuma ya Mic.
Nimeona nitupie hapa ili nifahamishwe kwaupana kwa wale wenye kumfahamu.
Nikapata majibu lakini sikuridhika nayo,wengine wakadai mkasa wa Chacha Wangwe utamtoa mchezoni,wengine wakadai eti jamaa hana falsafa nzuri ya uandishi yeye huwa ni mzuri anapokuwa nyuma ya Mic.
Nimeona nitupie hapa ili nifahamishwe kwaupana kwa wale wenye kumfahamu.