saidoo25
JF-Expert Member
- Jul 4, 2022
- 602
- 1,407
Naibu Waziri wa Fedha, Hamad Chande wakati akijibu swali la Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina kuhusiana na Sakata la Trilioni 360 alikiri mbele ya Bunge kuwa madai hayo ni kweli yapo na Serikali inayatambua.
Lakini alipokuja Mwigulu Nchemba kuongezea majibu ya Naibu Waziri wake akasema mashauri hayo hayapo na tena hayapo TRAB na TRAT na ni jambo mahususi.
Swali tunalojiuliza ni Kwanini Mawaziri wa ZANZIBAR hawapendi kusema uongo lakini wa Bara kama Mwigulu akaamua kutudanganya Watanzania.
Lakini alipokuja Mwigulu Nchemba kuongezea majibu ya Naibu Waziri wake akasema mashauri hayo hayapo na tena hayapo TRAB na TRAT na ni jambo mahususi.
Swali tunalojiuliza ni Kwanini Mawaziri wa ZANZIBAR hawapendi kusema uongo lakini wa Bara kama Mwigulu akaamua kutudanganya Watanzania.