johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,998
- 142,019
Mawaziri Wakuu wastaafu Mzee Warioba, mzee Msuya, Mzee Sumaye na Mzee Lowassa mara kadhaa wamekuwa wakiisifia Chadema kwamba ni Bora kuliko CCM
Tena Sumaye na Lowassa waliwahi kuhamia kabisa Chadema
Kuna Ukweli wowote Chadema ni Bora?
Au ni ile, Bora Chadema tu!
Muwe na Siku Njema 😄
Tena Sumaye na Lowassa waliwahi kuhamia kabisa Chadema
Kuna Ukweli wowote Chadema ni Bora?
Au ni ile, Bora Chadema tu!
Muwe na Siku Njema 😄