MARCKO
JF-Expert Member
- Jun 10, 2011
- 2,258
- 274
Hii tabia mwanzo sikuanayo! Imeanza kama miezi 7 ilopita. Yani naamka usingizini nakuta mate yamejaa mdomoni, na mbaya zaidi sikuhizi yameanza kutiririka kidogo niwapo usingizini. Why? Why? Kwanini? Nisaidieni maana nilimuona mtu mmoja akaniambia eti ni minyoo; ila pamoja na kutumia dozi moja sikupona!!