Inanambo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2011
- 3,985
- 2,770
Tim Cook, Elton John, George Michaeln na Bilal wa Kinondoni wako poa kama wanaume wengineUmenikumbusha Michael Scofild
Tim Cook, Elton John, George Michaeln na Bilal wa Kinondoni wako poa kama wanaume wengineUmenikumbusha Michael Scofild
Umenena vyema kabisaYa ngoswe muachie ngoswe....kuanza kuwajadili hao mashetani ni kuonesha kuwa tunashughulishwa na uwepo wao...
Nadhani huwa wanafikiri wana matiti makubwa hawataki yaonekaneNimewaangalia wale mashoga wanaojulikana wengi uvaaji wao ndio huo...
Mashoga si marafiki!mi huwa namsikia wife anasema anaenda kumjulia hali shoga yake kama vile mimi nina maswahiba wangu au mba maana nyingine?Jamani mimi bado mgeni eti hao mashoga ndiyo madude gani?
eti naskia wanaficha manyony0 yasionekane Cc @Bwabwa
Kukusaidia unachosema hakina ukweli, hiyo ni fashion ambayo ilikuwa miaka ya nyuma sasa hivi imerudi tena, sawa na unavyoona sasa hivi uvaaji wa kaptula ambazo sio kubwa sana zinavaliwa na wanaume, pia ufugaji wa nywele nyingi na kukuta panki kama la shabaranks, kifupi fashion inaenda na kurudi..nikija kwenye swali lako hata hao mashoga wanavutiwa na fashion wapo wasiopenda kujiweka kama wanawake kwahiyo wanajaribu kwenda na fashion za kiume..usije ukakutana na mtu kafunga vifungo vyote ukasema shoga jihadhari..shoga kwa kumuangalia tabia zake anavyo jiweka na kuongea ni rahisi kumtambua..natumaini nimejaribu kukujibu kama yupo mwenye jibu zuri atajazia..Sijasema nina experience nao isipokuwa kuna mtu aliwahi niambia hivyo, nami sikutaka kuamini moja kwa.moja...nikaingia Instagram nikasearch majina ya wale watu ambao za "vijiweni" na hata humu Jamiiforums zinasema wanajihusisha na Uchafu huo nikaangalia uvaaji wao wa mashati wengi nikakuta ndio uvaaji wao ni huo...
Cc Bhanunu kwa ufafanuzi zaidi..Habarini Wakubwa?
Binafsi sijawahi nivaapo Shati sijawahi kabisa kufunga vifungo vyote vya shati hasa cha shingoni pale, lakini cha ajabu nimewaona MASHOGA wengi wavaapo mashati hufunga vifungo vyote mpaka cha shingoni huwa sielewi wanaanisha nini au ndio moja ya Identity yao?