malembeka18
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 2,780
- 2,716
Habar kwanin wahindi wengi mitaa ya kariakoo hupenda kufungua maduka Yao saa tatu asubuh hadi wakati mwingine saa nne na huwahi kufunga maduka Yao saa kumi na moja na nusu..ukizingatia wengi hukaa hapo hapo posta na kariakoo