Unaweza mtambua shoga kwa kuangalia nin…??Habarini Wakubwa?
Binafsi sijawahi nivaapo Shati sijawahi kabisa kufunga vifungo vyote vya shati hasa cha shingoni pale, lakini cha ajabu nimewaona MASHOGA wengi wavaapo mashati hufunga vifungo vyote mpaka cha shingoni huwa sielewi wanaanisha nini au ndio moja ya Identity yao?
Inaelekea una experience naoHabarini Wakubwa?
Binafsi sijawahi nivaapo Shati sijawahi kabisa kufunga vifungo vyote vya shati hasa cha shingoni pale, lakini cha ajabu nimewaona MASHOGA wengi wavaapo mashati hufunga vifungo vyote mpaka cha shingoni huwa sielewi wanaanisha nini au ndio moja ya Identity yao?
Umewah kuwa na exprience na hao mashoga, either kuwa na urafiki nao, au vyovyte vileNimewaangalia wale mashoga wanaojulikana wengi uvaaji wao ndio huo...
Mhh hayo pia wanayo!eti naskia wanaficha manyony0 yasionekane Cc @Bwabwa
Umenikumbusha Michael ScofildHabarini Wakubwa?
Binafsi sijawahi nivaapo Shati sijawahi kabisa kufunga vifungo vyote vya shati hasa cha shingoni pale, lakini cha ajabu nimewaona MASHOGA wengi wavaapo mashati hufunga vifungo vyote mpaka cha shingoni huwa sielewi wanaanisha nini au ndio moja ya Identity yao?
Ngoja waje watatoa majibuSijasema nina experience nao isipokuwa kuna mtu aliwahi niambia hivyo, nami sikutaka kuamini moja kwa.moja...nikaingia Instagram nikasearch majina ya wale watu ambao za "vijiweni" na hata humu Jamiiforums zinasema wanajihusisha na Uchafu huo nikaangalia uvaaji wao wa mashati wengi nikakuta ndio uvaaji wao ni huo...
Kina nani hao? ebu tutajie kama kweli unawajua!Nimewaangalia wale mashoga wanaojulikana wengi uvaaji wao ndio huo...
Kweli mkuu. Naunga mkono hoja.Ya ngoswe muachie ngoswe....kuanza kuwajadili hao mashetani ni kuonesha kuwa tunashughulishwa na uwepo wao...