Xi Jinping
JF-Expert Member
- Jun 14, 2023
- 8,102
- 23,693
Tangu 2012 Marekani imekuwa ikifanya juu chini kuiangusha HUAWEI bila mafanikio.
Hivi karibuni HUAWEI ilizindua A.I chip ya hali ya juu iitwayo Ascend 910C ambayo imekuja kuichallenge ile ya NVIDIA.
Kuna wasiwasi unaoongezeka kwa Marekani kwamba hivi karibuni China itakuwa ikiuza AI processors hizo nchini China na masoko ya nje ambapo itashindana na zile za NVIDIA na za makampuni mengine ya Marekani.
Kutokana na ujio wa processors hizo, May 13 2025, U.S Chamber of Commerce na U.S Bureau of Industry and Security wametoa tangazo la kitisho kwa mataifa mengine duniani kwamba;
Wasitumie HUAWEI Ascend processors wakidai kuwa zimetengenezwa kwa kutumia teknolojia ya Marekani.
Lakini cha kushangaza hivi karibuni CEO wa NVIDIA Jensen Huang alipoulizwa: “How far is China behind the US in AI?” hili ndio jibu lake
Hivi karibuni HUAWEI ilizindua A.I chip ya hali ya juu iitwayo Ascend 910C ambayo imekuja kuichallenge ile ya NVIDIA.
Kuna wasiwasi unaoongezeka kwa Marekani kwamba hivi karibuni China itakuwa ikiuza AI processors hizo nchini China na masoko ya nje ambapo itashindana na zile za NVIDIA na za makampuni mengine ya Marekani.
Kutokana na ujio wa processors hizo, May 13 2025, U.S Chamber of Commerce na U.S Bureau of Industry and Security wametoa tangazo la kitisho kwa mataifa mengine duniani kwamba;
Wasitumie HUAWEI Ascend processors wakidai kuwa zimetengenezwa kwa kutumia teknolojia ya Marekani.
Lakini cha kushangaza hivi karibuni CEO wa NVIDIA Jensen Huang alipoulizwa: “How far is China behind the US in AI?” hili ndio jibu lake
“China is not behind! Remember that 50% of world’s best AI researchers are Chinese and many of those work at U.S.-based AI labs. This is a long race.
It would be a tremendous loss to miss the Chinese AI market."
-Nvidia CEO Jensen Huang
It would be a tremendous loss to miss the Chinese AI market."
-Nvidia CEO Jensen Huang
Pro-West husema Marekani iko mbele kwenye teknolojia imeizidi China.
Ok well tufanye imeizidi sasa kwa nini Marekani imekuwa ikiogopa high tech goods za China wanazodai zina low quality zisipenye soko la dunia au Marekani?
Marekani inahofia Ascend processors zikiingia soko la dunia, NVIDIA can't win a price war with HUAWEI.
Ok well tufanye imeizidi sasa kwa nini Marekani imekuwa ikiogopa high tech goods za China wanazodai zina low quality zisipenye soko la dunia au Marekani?
Marekani inahofia Ascend processors zikiingia soko la dunia, NVIDIA can't win a price war with HUAWEI.