Xi Jinping
JF-Expert Member
- Jun 14, 2023
- 9,420
- 28,194
- Thread starter
- #21
Marekani kwa sasa kwenye free and fair trade hayupo kabisa
So far Marekani imeshafanya breaching ya sheria na kanuni nyingi sana W.T.O
Inaenda kinyume kabisa na makubaliano ya member countries wa W.T.O
China ikiwa member country W.T.O imeshasema sana kuhusu hilo kwa sasa imeamua ni kwenda naye jino kwa jino. Hii ndio lugha wanaipenda Marekani
W.T.O ni toothless organisation
Inaenda kinyume kabisa na makubaliano ya member countries wa W.T.O
China ikiwa member country W.T.O imeshasema sana kuhusu hilo kwa sasa imeamua ni kwenda naye jino kwa jino. Hii ndio lugha wanaipenda Marekani
W.T.O ni toothless organisation