mmmuhumba
JF-Expert Member
- Nov 8, 2017
- 493
- 480
Kuna watu tokea wayajue mapenzi, hawana raha nayo ni kama wapo ukanda wa vita.
Yamewafanya wawe walevi, wafirisike, wapoteze kazi na marafiki na wamekuwa ni watu wenye misongo ya mawazo.
Ukiwa na tatizo katika mahusiano upaswi kujitenga na kuwa kimya, zungumza ama funguka.
Yamewafanya wawe walevi, wafirisike, wapoteze kazi na marafiki na wamekuwa ni watu wenye misongo ya mawazo.
Ukiwa na tatizo katika mahusiano upaswi kujitenga na kuwa kimya, zungumza ama funguka.