Mc Tilly Chizenga
JF-Expert Member
- Feb 7, 2012
- 4,641
- 3,686
mi nishajiuliza sana kwanini watoto wanazaliwa na kucha? halafu unakuta zimekomaa kweli nyeusii na uchafu kibao!!!
kwani huwa kuna kujikuna huko tumboni?
hata hizi sehemu za siri kwanini wanazaliwa nazo?kwani wanazitumia huko tumboni?