Kwanini mama wake huangalia kucha?

Kwanini mama wake huangalia kucha?

Haswaaa mtu akijifungua tu hao nduki kuja kumfunua mtoto khanga
hii ni kwa wamama walokosa ustaarabu

Umeona mamy halafu wako fasta huku wakijichekesha
Mara kusema kucha nzuri oor atakuwa na miguu mizuri daaa
 
mi nishajiuliza sana kwanini watoto wanazaliwa na kucha? halafu unakuta zimekomaa kweli nyeusii na uchafu kibao!!!

kwani huwa kuna kujikuna huko tumboni?

Mmh...pacha umewahi kuangalia kucha za mtoto aliyezaliwa hapo hapo ukaona hayo kabisaa:what: ..au huyo uliyemwona alikuwa na siku ngapi tuanzie hapo
 
Wengi wao wanakuwa wanakumbuka jinsi muundo wa vdole vya watt wao wakat wamezaliwa so kuangalia hyo ni kama kumbukumbu fulan inayoconnect uzao wake na huo uzao wa mwanae.....

Kweli kabisa, ipo kisaikolojia zaidi kuliko kuhakiki kama mtoto kachakachuliwa...huwa wanaangalia vitu zaidi ya kucha kama kipimo cha 'dna' kwa macho mfano sura, masikio nk..nk...
 
Kweli kabisa, ipo kisaikolojia zaidi kuliko kuhakiki kama mtoto kachakachuliwa...huwa wanaangalia vitu zaidi ya kucha kama kipimo cha 'dna' kwa macho mfano sura, masikio nk..nk...

Me huwa namuona my grandma pind wake za uncle zangu wanapojifungua....
Utakuta anamuangalia mtt had unyayo afu anakwambia huyu ndiye huyu hata baba ake alikuwa hv hv....
Regardless hw mtt atafanana na mamaake, lazma atapoint sth ambacho akikuoneshen pic ya huyo uncle akat mdogo utamuamn......
 
Mmh...pacha umewahi kuangalia kucha za mtoto aliyezaliwa hapo hapo ukaona hayo kabisaa:what: ..au huyo uliyemwona alikuwa na siku ngapi tuanzie hapo
pacha mi mbona nishawatoa watoto wengi sana hospitalini baada ya kuzaliwa!
yani ukiangalia kwenye vidole, utaona kucha zilivyo na uchafu mwingi ambao ni kama wakujikuna!

pacha subiri ukijifungua ufanye huo utafiti!
 
lazima ahakikishe kama ni wa mwanae au kuna mtu kafanya assist.
 
pacha mi mbona nishawatoa watoto wengi sana hospitalini baada ya kuzaliwa!
yani ukiangalia kwenye vidole, utaona kucha zilivyo na uchafu mwingi ambao ni kama wakujikuna!

pacha subiri ukijifungua ufanye huo utafiti!

....mmmh!
 
Hata mtoto sina, ila mama mkwe wangu sio mama wa type hizo kwakweli....

Anaweza asifanye yy, lakini wanawake walio ktk ukoo huo ulioolewa wakafanya kwa niaba yake na wakampa habari,hata kama ni nzuri au mbaya.

Wanawake ndio wenye maneno haya, utasikia " baba yake mtupu" au utasikia ni "mtoto gani" . Wakwe si ndio wanaoomba nywele za kwanza na vitovu vya wajukuu?
 
Back
Top Bottom