realoctopus
JF-Expert Member
- May 11, 2014
- 3,232
- 1,981
Haupo sawa kichwani
Penye red si kweli! Lisu hawezi kusema hivyo asilani! Tafuta clips utajihakikishia alichokisemaHadi sasa watu wanalalamika kwanini Lema ashitakiwe kwa kumkelele Raisi ambaye kimsingi nI kiongozi wa dola ya utawala na Mke wa Lema ana kesi ya kumtukana RC Gambo.
Makonda na Mnyeti wanakabiliwa na tuhuma za kudhalilisha bunge.
Ikumbukwe Lissu alishawahi kutamka ya kuwa Majaji hawana akili.
Kwa msingi ule ule wa wivu wa mihimili ya dola,mahakama,bunge na korti kila mhimilI ukiamua kuwa na wivu je Lema,mkewe na wenzie watapona?
Jenga hoja bila matusi tafadhali.
Makonda hajakiuka sheria yoyote mpaka sasa.Nashangaa tu watu povu linawatoka.si nyie mliokuwa mnapiga kelele serikali ichukue hatua?kuitwa polisi sio kosaTuseme kwa mfano kutaja list ya mafisadi ni kosa-je hii inahalalisha wengine kufanya kosa hilo, hasa ukikumbuka kuwa vyombo vya dola wanavyo? Pia ukumbuke sio wote wanaweza kwenda mahakani. Kama sheria ziko wazi basi Makonda awe wa kwanza kuzifuata!!!!
RC HANA nguvu yyt kisheria kumuita mtu polisi ktk tuhuma za jinaiMakonda hajakiuka sheria yoyote mpaka sasa.Nashangaa tu watu povu linawatoka.si nyie mliokuwa mnapiga kelele serikali ichukue hatua?kuitwa polisi sio kosa
kama mmiliki wa Q bar na sea cliff wameitika wito,kwa nini mmiliki wa danguro la bilicanas asiitweACHA UCCM VITU UNAVYOOANISHA HAVIFANANI,JIONGEZE MKUU.
Kama RC ana uwezo wa kumuweka mtu ndani saa 48,atakosa wapi uwezo wa kumuita mtu polisi?RC HANA nguvu yyt kisheria kumuita mtu polisi ktk tuhuma za jinai
Mbowe kafungua kesi leo Mahakama ya Katiba na Makonda atanyooshwa
Kama RC ana uwezo wa kumuweka mtu ndani saa 48,atakosa wapi uwezo wa kumuita mtu polisi?
Haya Mbowe kaitwa na kamanda Siro,atakwenda haendi?Kutumia nguvu nyiingi hivo ni kuogopa polisi au kuna kitu anaficha?
nime comment kimakosa mkuu. ipotezee kama mie nilivoifuta.Mkuu Swala Siyo Buku 7 Kuna Swali La Msingi Pale La Mamlaka.
Anaweza kumuweka mtu ndani kama 'ata hatarisha amani' within his/her juristicationKama RC ana uwezo wa kumuweka mtu ndani saa 48,atakosa wapi uwezo wa kumuita mtu polisi?
Haya Mbowe kaitwa na kamanda Siro,atakwenda haendi?Kutumia nguvu nyiingi hivo ni kuogopa polisi au kuna kitu anaficha?