GAS STATE
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 1,770
- 952
kiafrikaafrika yanaonesha heshima mbele ya jamii hasa ikiwa jina lako la mwanzo linatumiwa na wengi ikiwemo watoto. mf John, Ally. 'rais John anahutubia' wengi watakuona huna adabu kwa mila zetu ila Arabs hutumia majina ya mwanzo. pili ni majina ya upekee ambayo yakitumika ni rahisi lengwa kutambulika.
rais Peter kawasili-hii italeta maswali ni Peter gani?
rais Mkurunzinza Kawasili-kauli hailet maulizo inajitegemea.
JIU;IZE KWANINI WAZAZI WENGI HAWAPENDI WATOTO WAO WAJUWE MAJINA YAO YA MWANZO HADI WAWE WAKUBWA. Utasikia mama B na sio jina lake la Amina
rais Peter kawasili-hii italeta maswali ni Peter gani?
rais Mkurunzinza Kawasili-kauli hailet maulizo inajitegemea.
JIU;IZE KWANINI WAZAZI WENGI HAWAPENDI WATOTO WAO WAJUWE MAJINA YAO YA MWANZO HADI WAWE WAKUBWA. Utasikia mama B na sio jina lake la Amina