Kwanini majina ya mwisho/ukoo huwa maarufu sana kuliko majina ya mwanzo?

canular

JF-Expert Member
Jan 7, 2018
858
812
Heshima kwenu wana jf,

Jamani wajuzi naomba kujua
Hivi ni kwanini majina ya mwisho ya ukoo hutambulika au kuwa maarufu zaidi kuliko jina la kwanza?

Mfano Jakaya Mrisho Kikwete linalojulikana sana ni Kikwete?
John Pombe Magufuli jina maarufu ni Magufuli,
Julius Kambarage Nyerere jina maarufu ni Nyerere

Naomba kujua iko hii, wana jf naomba kujua
 
Heshima kwenu wana jf, jamani wajuzi naomba kujua ivi ni kwanini majina ya mwisho kutambulika au kuwa maarufu kuliko jina la kwanza? Mfano jakaya mrisho kikwete linalo julikana sana ni kikwete?,John pombe magufuli jina maarufu ni Magufuli, julius kambarage Nyerere jina maarufu ni Nyerere naomba kujua iko hii, wana jf naomba kujua
ukipata jibu nitagi basi mkuu
 
Sijui kwanini huwa yana nguvu hivi ila naamini mtu hawezi kufanana na mwingine jina hadi jina la 3.

Ni ngumu ukute mtu kafanana jina na mwenzake kwa majina yote matatu. Huwenda wanatumia majina hayo kuwatofautisha na wengine.
Kiukweli hii kitu huwa nafikiria sana kwanini inakua hivo mkuu
 
Sijui kwanini huwa yana nguvu hivi ila naamini mtu hawezi kufanana na mwingine jina hadi jina la 3.

Ni ngumu ukute mtu kafanana jina na mwenzake kwa majina yote matatu. Huwenda wanatumia majina hayo kuwatofautisha na wengine.
Angalau mkuu hapo yaweza kuwa sahihi labda lengo ni kutofautisha majina yasifanane
 
Naona kama jina la ukoo lina heshima zaidi.

Huu utaratibu wa majina ya mwisho halafu uko tofauti kutokana na jamii.

Wahispaniola wao majina ya koo za baba na mama lazima kuwekwa kwenye jina la mtu.
Huanza jina alilopewa mtu then hufuatia jina la ukoo la baba na mwisho jina la ukoo la mama.

Kwa jamii nyingi za waarabu, waswahili, waingereza n.k huanza jina ulilopewa, jina la baba yako, na mwisho jina la ukoo wa baba yako
 
Miaka ya nyuma kuna mzee mmoja kutoka ukoo wetu aliwahi kuhudumu katika jeshi ila alikuwa na ukatili wa ajabu sana jina lake halikutoka masikio mwa wahanga wake hadi sasa kuna baadhi ya watoto walipata taabu kupitia jina lake.

Faida ni kuwa ukilitumia kwa mazuri litakuwa na manufaa hata kwa vizazi vijavyo.

Ila ukilitumia vibaya unaharibu sana kwa wajao.
Faida ni zip na hasara ni zip mkuu tusaidie tujue tusio jua
 
Naona kama jina la ukoo lina heshima zaidi.

Huu utaratibu wa majina ya mwisho halafu uko tofauti kutokana na jamii.

Wahispaniola wao majina ya koo za baba na mama lazima kuwekwa kwenye jina la mtu.
Huanza jina alilopewa mtu then hufuatia jina la ukoo la baba na mwisho jina la ukoo la mama.

Kwa jamii nyingi za waarabu, waswahili, waingereza n.k huanza jina ulilopewa, jina la baba yako, na mwisho jina la ukoo wa baba yako
Asante kwa majibu mazuri mkuu
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom