Kwanini magonjwa ya figo, ini pamoja na mapafu yanaondoa vijana wengi sana?

Hizi kitu Hizi.....
IMG_20210928_093023.jpg
 
Wengi issue ni NGOMA, figo ni geresha tu. Mara nyingi ni ngoma ndiyo huwaua, ukiwa na ngoma ni rahisi mno magonjwa kama ya figo, ini, moyo, BP, cancer aina zote ikiwemo ya koo, kisukari n.k, kukupata na kukuondosha kabisa duniani.
Issue ni kuwa wengi wa hao vijana wanauawa na UKIMWI ambao kwa kiasi kikubwa huwasababishia hayo magonjwa uliyotaja.

Tuache ngono zembe, AIDS is real!!!
Acha uongo jamaa..uli wapima..?na pia takwimu nyingi zinaonyesha magonjwa yasiyo yakuambukiza ndio yanaongoza kwa vifo..magonjwa nyemelezi ambayo ni ya kuambukiza ndio yanayo wapereka wenye ngoma..rudi shule boya wewe.

#MaendeleoHayanaChama
 
Pombe na sigara kupitiliza ,,pia kuna hizi sumu tunakula kila siku kama sukari especially ya kwenye bidhaa za viwandani kama juice, soda,pipi nk. Mafuta ya kupikia yanayotokana na mbegu ni hatari sana lakini ukijumkisha na madawa yanayopigwa kwenye mazao,mboga basi ni kama tunakula sumu inayotuua taratibu .
Mafuta ya kula yanayotokana na mbegu ni hatari??..hebu ni eleweshe vyema hapa?

#MaendeleoHayanaChama
 
Vyakula na vinywaji vya viwandani,vinachangia sana uharibifu wa figo.Upande wa ini,ngono inachangia sana,kwasababu ugonjwa wa ini unaambukizwa vilevile kwa kuyagusa yale majimaji na jasho la mtu mwenye huo ugonjwa(Hepatitis B).Magonjwa haya yanatumaliza sana,ukienda dialysis,inatia huzuni pale unapoona watu wengi wapo kule wanachujwa damu,inasikitisha hasa ukiulizia gharama ambazo zinatumika,inaumiza.Mtu kama hana bima ya afya,anachujwa mara kadhaa,familia inafilisika nayeye anakufa kwa kukosa pesa za kumsafisha,inatia huruma sana.
 
Pamoja Na defect kama UKIMWI na dawa zake ila energy drinks ni shimo la kifo kwa vijana. Wasipokua makoni watawaacha matajiro wenye viwanda tu hapa duniani
 
Zamani ilionekana UKIMWI ni tishio kwa Dunia nzima, kwa dhana kwamba ni lazima mtu atakufa tu.

Siku hizi magonjwa ya ini, mapafu kujaa maji, Figo kushindwa kazi yake yamekuwa tishio sana na yanaondoa uhai wa watu wengi sana hasa vijana.

Sijui sababu kubwa ni matumizi ya pombe au sigara bila kula vizuri, kunywa maji mengi n.k?

Lakini mbona wazee wetu wanakunywa pombe miaka nenda rudi lakini hawasumbuliwi na magonjwa haya kama vijana wa leo?

Madaktari wameshindwa kabisa kuthibiti vifo vya magonjwa haya kiasi kwamba mtu akishaumwa tu haya magonjwa anahesabu kifo wakati wowote.

Kwanini yameshindikana?

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Pombe za kienyeji hazina makemical .ila huku kwenye konyaji,k vant ni matatizo matupu
 
Wakati Mwingine hivo viungo vinachukuliwa kwa Ushirikina.
Mchawi akiloga mtu na kifo cha mtu kikawa cha utata, mshirikina/mchawi anajuwa ilo ni tatizo lakini mtu akiambiwa figo yake hazifanyi kazi kifo kikamkuta. Kifo hiki tunaamini siyo cha kishirikini

Kumbe tunajindanganya ushirikina nao upo Advanced .
 
Back
Top Bottom