Kwanini magonjwa ya figo, ini pamoja na mapafu yanaondoa vijana wengi sana?

Pombe na sigara kupitiliza ,,pia kuna hizi sumu tunakula kila siku kama sukari especially ya kwenye bidhaa za viwandani kama juice, soda,pipi nk. Mafuta ya kupikia yanayotokana na mbegu ni hatari sana lakini ukijumkisha na madawa yanayopigwa kwenye mazao,mboga basi ni kama tunakula sumu inayotuua taratibu .
Mafuta ya kupikia yanayotokana na mbegu ni hatari mfano alizeti? mbona tuliambiwa hayo ndo salama, yapi ni mafuta salama sasa?
 
Kwa mtaalamu wa research tayari nimepata hypothesis zifuatazo juu ya chanzo cha hayo magonjwa

1. Ukimwi na matumizi ya dawa za kufubaza virus ambayo in the long run inachosha figo, na ini.

2. Pombe na sigara zilizokithiri

3. Industrial products haswa mafuta ya mbegu, energy drinks.

4. Kutokufanya mazoezi na kutokula mlo kamili-- hii nadhani ndio haswa point kubwa.

Kuna watu wana ngoma wanatumia ARV, wanakula fegi na mitungi, ila bado wana afya njema kwa sababu ya kufanya mazoezi na kula balance diet.

So mi naona hapa.. kikubwa kabisa ni tuzingatie mazoezi, tule balance diet na tujitahidi kuacha industrial goods ambazo sio za lazima
 
Madawa ya kufubaza yanachosha ini na hatimae kuua figo!
Ngwengwe sio poa hata kidogo, nadhani inachangia asilimia kubwa sana katika haya magonjwa yanayoumiza watu sasa. Imagine mtu anakunywa vidonge miaka kumi mfululizo, au anatumia vidonge vya pressure miaka nenda...lazima figo zikatae tu!
 
Wengi issue ni NGOMA, figo ni geresha tu. Mara nyingi ni ngoma ndiyo huwaua, ukiwa na ngoma ni rahisi mno magonjwa kama ya figo, ini, moyo, BP, cancer aina zote ikiwemo ya koo, kisukari n.k, kukupata na kukuondosha kabisa duniani.

Issue ni kuwa wengi wa hao vijana wanauawa na UKIMWI ambao kwa kiasi kikubwa huwasababishia hayo magonjwa uliyotaja.

Tuache ngono zembe, AIDS is real!!!

Ni kama siku hizi “wanasiasa” wanaokana janga la Covid-19 wanavyochangamkia magonjwa ya moyo, pneumonia, ini (hp), tb, fatigue, msongo wa mawazo, n.k. kama sababu za vifo.

Huku wengine wakiona nafuu kifo cha ukimwi kukiita cha corona!
 
Vidayamond, kvant, nyagi nk...watu wanakunywa daily kutokana na stress za maisha. Zinaua maini na figo
 
Wengi issue ni NGOMA, figo ni geresha tu. Mara nyingi ni ngoma ndiyo huwaua, ukiwa na ngoma ni rahisi mno magonjwa kama ya figo, ini, moyo, BP, cancer aina zote ikiwemo ya koo, kisukari n.k, kukupata na kukuondosha kabisa duniani.

Issue ni kuwa wengi wa hao vijana wanauawa na UKIMWI ambao kwa kiasi kikubwa huwasababishia hayo magonjwa uliyotaja.

Tuache ngono zembe, AIDS is real!!!
Acha mizinguo arifu. Sema tatizo ni hayo "maharagwe" wanayobwia kwa kisingizioa cha kuwa mtu anangoma ndo yanawamaliza. Hayo makitu ya ni hatari kuliko hata hiyo ngoma yenu!
 
Wengi issue ni NGOMA, figo ni geresha tu. Mara nyingi ni ngoma ndiyo huwaua, ukiwa na ngoma ni rahisi mno magonjwa kama ya figo, ini, moyo, BP, cancer aina zote ikiwemo ya koo, kisukari n.k, kukupata na kukuondosha kabisa duniani.

Issue ni kuwa wengi wa hao vijana wanauawa na UKIMWI ambao kwa kiasi kikubwa huwasababishia hayo magonjwa uliyotaja.

Tuache ngono zembe, AIDS is real!!!
Umepewa likes nyingi muda huu zipo 41, sijakupa ya kwangu kwa kuwa you are very wrong! Mind controlled from being fed by mind programing education school!
Unasema vijana wanakufa kwa Ukimwi!
Ukimwi upi unaoongelewa, ule wa kujamiiana au ni upi?
Acha hizo 'song sheet' kuhusu ukimwi.
Kwa kifupi maradhi mengi yanayoua watu wengi leo ni Kisukari, Figo, Cancer, Ini yanasababishwa na life style inayosababishwa na watu kuwa wajinga walioambatanisha elimu yao na mifumo ya kiulimwengu, then watu wanaumwa wanakwenda hospitali na kupewa dawa ambazo ni "hazard" kwenye miili yao afu wameandika 'side effects' kwenye kikaratasi, ndugu yangu hujanywa dawà ila umekunywa ili kupata hizo side effects. Wengi hamsomi.
But Medical Systems kills people nowadays!!
Mfano watu hawajui kuwa hizo dawa za meno wanazotumia ndio zinawaharibu meno. Dawa nyingi za meno zina Fluoride ambayo "science" wametuambia kuwa 'inaimarisha meno' , ukiangalia Fluoride ni toxic kiasi kwamba ukiihifadhi kwenye glass inatoboka! Lakini ndo imewekwa kwenye dawa za meno na kwenye maji ya kunywa ya chupa!! Afu wanakuandikia 'Afya' au nini sijui!
Lengo la Fluoride kuwekwa kwenye bidhaa hizo ni ku target 'pineal gland' ambayo ni jicho la tatu la ufahamu, tunaweza sema ina connection na Uungu wetu, na ndiyo inayoleta 'Intuition' au 'Consciousness'.
Fluoride ina 'Calcify' hiyo pineal gland iwe kama Calcium.
Pineal gland ipo kwenye pituitary gland ni kamjamaa kadogo sana kama punye ya mchele ambacho kazi yake ni kumuunganisha naturally binadamu kwenye ufahamu wake na Cosmic.
That is why Illuminati na secret societies wenye hivi viwanda vinavyotusambazia vyakula na vinywaji wanahakikisha katika kila product ya chakula inayokwenda mtaani ina some manipulating elements zenye kum change binadamu ' the way he/she perceive the world.
Tunaishi kipindi cha mwisho ambacho kunatokea 'human awakenings' so unapopokea nuru au elimu mpya, don't suppress it, right?
 
Umepewa likes nyingi muda huu zipo 41, sijakupa ya kwangu kwa kuwa you are very wrong! Mind controlled from being fed by mind programing education school!
Unasema vijana wanakufa kwa Ukimwi!
Ukimwi upi unaoongelewa, ule wa kujamiiana au ni upi?
Acha hizo 'song sheet' kuhusu ukimwi.
Kwa kifupi maradhi mengi yanayoua watu wengi leo ni Kisukari, Figo, Cancer, Ini yanasababishwa na life style inayosababishwa na watu kuwa wajinga walioambatanisha elimu yao na mifumo ya kiulimwengu, then watu wanaumwa wanakwenda hospitali na kupewa dawa ambazo ni "hazard" kwenye miili yao afu wameandika 'side effects' kwenye kikaratasi, ndugu yangu hujanywa dawà ila umekunywa ili kupata hizo side effects. Wengi hamsomi.
But Medical Systems kills people nowadays!!
Mfano watu hawajui kuwa hizo dawa za meno wanazotumia ndio zinawaharibu meno. Dawa nyingi za meno zina Fluoride ambayo "science" wametuambia kuwa 'inaimarisha meno' , ukiangalia Fluoride ni toxic kiasi kwamba ukiihifadhi kwenye glass inatoboka! Lakini ndo imewekwa kwenye dawa za meno na kwenye maji ya kunywa ya chupa!! Afu wanakuandikia 'Afya' au nini sijui!
Lengo la Fluoride kuwekwa kwenye bidhaa hizo ni ku target 'pineal gland' ambayo ni jicho la tatu la ufahamu, tunaweza sema ina connection na Uungu wetu, na ndiyo inayoleta 'Intuition' au 'Consciousness'.
Fluoride ina 'Calcify' hiyo pineal gland iwe kama Calcium.
Pineal gland ipo kwenye pituitary gland ni kamjamaa kadogo sana kama punye ya mchele ambacho kazi yake ni kumuunganisha naturally binadamu kwenye ufahamu wake na Cosmic.
That is why Illuminati na secret societies wenye hivi viwanda vinavyotusambazia vyakula na vinywaji wanahakikisha katika kila product ya chakula inayokwenda mtaani ina some manipulating elements zenye kum change binadamu ' the way he/she perceive the world.
Tunaishi kipindi cha mwisho ambacho kunatokea 'human awakenings' so unapopokea nuru au elimu mpya, don't suppress it, right?
Flouride iliyomo kwenye dawa ya meno ni kiasi kidogo sana ambacho hakina madhara kwa mtumiaji,ukichukulia flouride 100% kama sumu hapo sawa .
 
Aisee hii sio teknik ya marketing ya hyo mafuta ya olive?
Sio technique, kwenye mafuta ya mbegu kuna excessive amount of Omega 6 pamoja na non saturated fats (sijui kiswahili chake) kibao ambazo ni harmful kwa mtumiaji. Ongezeko la magonjwa ya moyo limeanza miaka ya mwanzo 1910 huko baada ya kuanza kwa matumizi ya mafuta ya kula ya viwandani . Jiulize tu kama mtu ana pressure ana shauriwa kupunguza au kuacha kabisa kutumia mafuta ya kupikia ,kwanini?
 
Wengi issue ni NGOMA, figo ni geresha tu. Mara nyingi ni ngoma ndiyo huwaua, ukiwa na ngoma ni rahisi mno magonjwa kama ya figo, ini, moyo, BP, cancer aina zote ikiwemo ya koo, kisukari n.k, kukupata na kukuondosha kabisa duniani.

Issue ni kuwa wengi wa hao vijana wanauawa na UKIMWI ambao kwa kiasi kikubwa huwasababishia hayo magonjwa uliyotaja.

Tuache ngono zembe, AIDS is real!!!
Jukwaani humu kuna kikundi cha watu wanasema ngoma ni hoax tu, hakuna kitu cha vile.
 
Back
Top Bottom