Kwanini Magazeti ya Ulaya na Amerika huwaanika wanaowapa habari kwa siri? Zitto, Kabendera ni mifano

Wakudadavuwa

JF-Expert Member
Feb 17, 2016
17,506
15,997
Ndugu zangu,

Walianza ''The Economist'' baada ya kukamatwa Kabendera na sasa ''Financial Times'', wamewachoka au maadili ya taarifa zao hayaruhusu ile ''na mwandishi wetu''? Si Zitto wala Kabendera waliwahi kufikiri kuwa siku moja magezeti hayo yataanika taarifa zao wanazozitoa kwa siri.

Kuna la kujifunza, kwanini wanaopeleka hizo habari huko wasiwe wanatuma nakala serikalini? Wakati serikali inafanya mambo kwa wazi, mfano sakata la makininkia na hata suala la mimba za wanafunzi, kwanini wao wanapeleka taarifa kwa siri? Nia ni kumkwamisha nani?

Je, ukiisadia Barrick dhidi ya Watanzania unanufaika na nini? Je fedha za programu ya elimu ni kwa manufaa ya nani? Je huwa wanalipwa bei gani kufanikisha hili jambo dhidi ya nchi?

Je wengine wataendelea? Ni dhahiri wazungu wakishafanikiwa mambo yao ''wanakuvua nguo'' Financial Times wanajua fika hakuna jinsi ambavyo World Bank (WB) watauzuia mkopo huo kwenye sekta ya elimu au Barrick walijua fika kuwa vita ile wanaenda kushindwa na wote wakaamua kuwaanika ''vibaraka'' wao.

Hili ni funzo, kupambana na nchi yako hutafanikiwa bali utaishia kupata laana.
 
Hakuna siri hapo, Kabendera huwa anaandika kwenye magazeti kila mmoja anaona.

swala la ujauzito wa wanafunzi liko wazi hata mtoto wako uliyezaa na madeluu anaelewa kuwa ni mweyekiti wa CCM alitangaza na kushangiliwa na wanaCCM wapokea bahasha za kaki na Zitto ameshapinga hadharani na kwenye maandiko yake kadhaa.
 
Kwa tafsiri zao kwa vitu ambavyo sisi tunaona ni siri au sensitive kwenye national security kwao ni kawaida.

Alichokuwa anaandika Kabendera ni opinion zake tu serikari zao azishindwi kujibu tuhuma kama zile, na anachofanya Zitto ni lobbying tu uanarakati (ni upuuzi kwa nafasi yake) anatakiwa kuwa more responsible.

Wao wanalinda source zinazotoa habari za ndani wakachapisha vitu ambavyo raia wasingejua bila ya huyo mtu wa ndani kuwapa umbea either kutokea serikarini/chamani/taasisini or whatever.

Hakuna serikari duniani inayopenda mipango au maamuzi yake ya ndani itoke nje bila ya idhini yao, wanachozidiana ni level za harassment ambazo mwandishi alieandika atapewa katika kutaka kujua nani kamvujishia.

Hila alichofanya Kabendera ni tafsiri/mtazamo wake kwa serikari and not established facts; upuuzi wa Zitto kwa tafsiri zao ni activism pressure.

Hakuna sababu ya kulinda source kama hizo, siku naibu waziri wa sanaa na michezo au mfanyakazi yeyote kutoka wizarani akipeleka habari serikari ikemewe ina mpango wa kufuta budget za umiseta na hilo swala watu awalijui; magazeti yakaanza kutoa pressure, source kama huyo ndio analindwa kwa sababu habari zake ni za ndani.
 
Wewe huwa unawaza ujinga tu! Sijui ulisoma wapi huko ulikofundishwa ujinga
Ndugu zangu,

Walianza ''The Economist'' baada ya kukamatwa Kabendera na sasa ''Financial Times'', wamewachoka au maadili ya taarifa zao hayaruhusu ile ''na mwandishi wetu''? Si Zitto wala Kabendera waliwahi kufikiri kuwa siku moja magezeti hayo yataanika taarifa zao wanazozitoa kwa siri.

Kuna la kujifunza, kwanini wanaopeleka hizo habari huko wasiwe wanatuma nakala serikalini? Wakati serikali inafanya mambo kwa wazi, mfano sakata la makininkia na hata suala la mimba za wanafunzi, kwanini wao wanapeleka taarifa kwa siri? Nia ni kumkwamisha nani?

Je, ukiisadia Barrick dhidi ya Watanzania unanufaika na nini? Je fedha za programu ya elimu ni kwa manufaa ya nani? Je huwa wanalipwa bei gani kufanikisha hili jambo dhidi ya nchi?

Je wengine wataendelea? Ni dhahiri wazungu wakishafanikiwa mambo yao ''wanakuvua nguo'' Financial Times wanajua fika hakuna jinsi ambavyo World Bank (WB) watauzuia mkopo huo kwenye sekta ya elimu au Barrick walijua fika kuwa vita ile wanaenda kushindwa na wote wakaamua kuwaanika ''vibaraka'' wao.

Hili ni funzo, kupambana na nchi yako hutafanikiwa bali utaishia kupata laana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna siri hapo, Kabendera huwa anaandika kwenye magazeti kila mmoja anaona.

swala la ujauzito wa wanafunzi liko wazi hata mtoto wako uliyezaa na madeluu anaelewa kuwa ni mweyekiti wa CCM alitangaza na kushangiliwa na wanaCCM wapokea bahasha za kaki na Zitto ameshapinga hadharani na kwenye maandiko yake kadhaa.
😂
 
Hahaha imepelekwa international forum, alijisemea Voltaire ,,if you want to know who rules over you, simply look at who you are not allowed to criticize“ !
 
Ndugu zangu,

Walianza ''The Economist'' baada ya kukamatwa Kabendera na sasa ''Financial Times'', wamewachoka au maadili ya taarifa zao hayaruhusu ile ''na mwandishi wetu''? Si Zitto wala Kabendera waliwahi kufikiri kuwa siku moja magezeti hayo yataanika taarifa zao wanazozitoa kwa siri.

Kuna la kujifunza, kwanini wanaopeleka hizo habari huko wasiwe wanatuma nakala serikalini? Wakati serikali inafanya mambo kwa wazi, mfano sakata la makininkia na hata suala la mimba za wanafunzi, kwanini wao wanapeleka taarifa kwa siri? Nia ni kumkwamisha nani?

Je, ukiisadia Barrick dhidi ya Watanzania unanufaika na nini? Je fedha za programu ya elimu ni kwa manufaa ya nani? Je huwa wanalipwa bei gani kufanikisha hili jambo dhidi ya nchi?

Je wengine wataendelea? Ni dhahiri wazungu wakishafanikiwa mambo yao ''wanakuvua nguo'' Financial Times wanajua fika hakuna jinsi ambavyo World Bank (WB) watauzuia mkopo huo kwenye sekta ya elimu au Barrick walijua fika kuwa vita ile wanaenda kushindwa na wote wakaamua kuwaanika ''vibaraka'' wao.

Hili ni funzo, kupambana na nchi yako hutafanikiwa bali utaishia kupata laana.
Wenzetu wako makini ukiandika habari bila kucote umeitoa wapi wanaogopa watashitakiwa na hawawezi andika habari za uongo.Kule kila habari lazima uandike na ripoter wake.
 
Ndugu zangu,

Walianza ''The Economist'' baada ya kukamatwa Kabendera na sasa ''Financial Times'', wamewachoka au maadili ya taarifa zao hayaruhusu ile ''na mwandishi wetu''? Si Zitto wala Kabendera waliwahi kufikiri kuwa siku moja magezeti hayo yataanika taarifa zao wanazozitoa kwa siri.

Kuna la kujifunza, kwanini wanaopeleka hizo habari huko wasiwe wanatuma nakala serikalini? Wakati serikali inafanya mambo kwa wazi, mfano sakata la makininkia na hata suala la mimba za wanafunzi, kwanini wao wanapeleka taarifa kwa siri? Nia ni kumkwamisha nani?

Je, ukiisadia Barrick dhidi ya Watanzania unanufaika na nini? Je fedha za programu ya elimu ni kwa manufaa ya nani? Je huwa wanalipwa bei gani kufanikisha hili jambo dhidi ya nchi?

Je wengine wataendelea? Ni dhahiri wazungu wakishafanikiwa mambo yao ''wanakuvua nguo'' Financial Times wanajua fika hakuna jinsi ambavyo World Bank (WB) watauzuia mkopo huo kwenye sekta ya elimu au Barrick walijua fika kuwa vita ile wanaenda kushindwa na wote wakaamua kuwaanika ''vibaraka'' wao.

Hili ni funzo, kupambana na nchi yako hutafanikiwa bali utaishia kupata laana.
Kwanza nikufahamishe hakuna siri wasiyojua hadi tuwapelekee wao chochote kifanyikacho wanazo taarifa,media zote ni international chochote unachoongea,unachotype kupitia JF,fb,twitter,insta,YouTube,TV,radios,,nk kinaonekana na kusikika duniani nzima.Huwezi weka kitu public then ukasema ni siri Wa nje wasijue hali haiwezekani,so hao uwaitao vibaraka upeleka kitu ambacho si kipya kwao tayari wakijua.
 
Back
Top Bottom