Kwanini mabinti wa kitanga wanagombaniwa?

Wanajamvi,

Tanga ni mkoa maarufu unaosifika kuwa na mabinti bora kwa tabia na mapenzi,je kuna ukweli wa jambo hili?

Siyo kweli, wewe tu, sana wanajua kufukiza papuchi yao kabla shughuli haijaanza swala hapa kwa mwanamke yoyote ni kujuwa kumhandle mwanamume
 
Hadi postgraduate wanazo.
 
Tatizo wanaishi kwa kufikiri mauno na mahaba ya kitandani ndo kila kitu,,,,,,, maisha ni zaidi ya hayo

You absolute right Cute!
Siwezi nikaoa mwanamke ambaye siyo mshauri wangu,ambaye hana focus kuhusu future ya watoto wetu eti nimuoe sababu anajua mauno kitandani!Kwanza sisi wanyakyusa wanawake kama hao tunawaona wanatu bore tu kitandani!

Mwanamke bora ni yule anayekewnda sambasamba na mme wake kwenye majukumu na hata mawazo!
 
Sijawahi kusikia, ndo leo nasikia kwako.
 
Sio ugombaniwa bali hugombaniwa ..kizungu hatujui hata kiswahili pia !
 
Tanga kubwa,nimesoma korogwe na lushoto sikuwahi kusikia mwanamke kagombaniwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…