inspector laddy
JF-Expert Member
- Jan 5, 2014
- 761
- 258
hahahaaaa!!ngoja nimuite InvisibleHakuna jinsi ambayo naweza kulike zaid ya mara moja jaman! Anayegoma ajitokeze hapa!
akupe jibu!!
Last edited by a moderator:
hahahaaaa!!ngoja nimuite InvisibleHakuna jinsi ambayo naweza kulike zaid ya mara moja jaman! Anayegoma ajitokeze hapa!
Tanga hakuna kitu, mimi ninaye mzigo tu
Sent from my iPhone using JamiiForums

HAA WE WA HUKO...NAOMBA NAMBA ZAKO TAFADAHALI NATAKA NIJUE MITAA FULANI YA TANGA😛😛😛😛😵🙄😳😀😱😕😡🙁😉🙂 HAHAHAHAH JOKESYani mpaka huwa naogopa kusema natokea huko ni kero isee.
Really?stereo types
Unabati kama ulirudi kutoka Tanga, wengi wanalowea huku.Nimewahi kuishi Tanga
sijawahi ona 'whats so special'
Unabati kama ulirudi kutoka Tanga, wengi wanalowea huku.
Wacha maneno wewe, hukupata mafundi😀😀Tanga ilikuwa zamani
siku hizi mbinu zote hata wachaga wanazijua
na zaidi ya nusu ya watu wa Tanga wanaishi Dar
imebaki historia tu
Hapo sawa na mijanaume ilivyo inaona eti mahaba kumbe imerogwa angalia tu huko wala sio pa kuamini.naishi huku ila c mzaliwa kwetu huko gesini., yan mnishushue tu lkn ndumba sana huku. Hapa majiran zangu kila mtu karoga mumewe mpk wananishauri ujinga na mie., tena kuna shoga angu mmoja huyo uwiiiiii kila ikiexpire anaenda kurenew., mume mshahara wote anampa mke. Tanga zaman cku hz hyo koz kila sehemu wanawake wamefuzu tena wana dip.,dgree na kuendelea
Unaweza kusema umerogwa usipokuwa makini.kumbe ndo mapenzi hayoHawana lolote ukiniambia wana sifa ya ushirikina hapo ntakuelewa.
Unaweza sema mapenzi kumbe ndo usharogwa hivyoUnaweza kusema umerogwa usipokuwa makini.kumbe ndo mapenzi hayo

Hahahah ww nomaUnaweza sema mapenzi kumbe ndo usharogwa hivyo![]()
![]()
![]()
..Tanga wanachofanya wazigua chumbani sijawahi ona Tanzania hii yani kama feniHahahah ww noma..Tanga wanachofanya wazigua chumbani sijawahi ona Tanzania hii yani kama feni



Mmh basi kumbe ww bado hakuna raha kama unyamwezi lazima maji utaita mmaHahahah ww noma..Tanga wanachofanya wazigua chumbani sijawahi ona Tanzania hii yani kama feni

Aysha mimi mtoto wa Tanga ujue. Inafikia wakati nikishamtongoza mwanamke namuulizia kabila lake na nikishashtuka ni mzigua..basi sikurupuki nafanya maandalizi na mazoezi mechi ichezwe wikiend kama siku 3/wiki mbele..shughuli ninayokutana nayo kwa wazigua hawajahi kuniangusha hata siku moja.Mmh basi kumbe ww bado hakuna raha kama unyamwezi lazima maji utaita mma![]()
![]()
![]()
![]()
![]()

Haya bwana kila muwamba ngoma ngozi huvutia kwake...Aysha mimi mtoto wa Tanga ujue. Inafikia wakati nikishamtongoza mwanamke namuulizia kabila lake na nikishashtuka ni mzigua..basi sikurupuki nafanya maandalizi na mazoezi mechi ichezwe wikiend kama siku 3/wiki mbele..shughuli ninayokutana nayo kwa wazigua hawajahi kuniangusha hata siku moja.
Aysha niache niwasifie wazigua![]()
![]()
![]()
