Kwanini mabinti wa kitanga wanagombaniwa?

Kwanini mabinti wa kitanga wanagombaniwa?

Yani mpaka huwa naogopa kusema natokea huko ni kero isee.
HAA WE WA HUKO...NAOMBA NAMBA ZAKO TAFADAHALI NATAKA NIJUE MITAA FULANI YA TANGA😛😛😛😛😵🙄😳😀😱😕😡🙁😉🙂 HAHAHAHAH JOKES
 
kwa sababu wana tuunganisha na huduma za tgo kwa urahis hao"
 
Mie nipo tanga ni kweli wanajua kupenda Na kujali mwanaume
 
Unabati kama ulirudi kutoka Tanga, wengi wanalowea huku.

Tanga ilikuwa zamani
siku hizi mbinu zote hata wachaga wanazijua
na zaidi ya nusu ya watu wa Tanga wanaishi Dar
imebaki historia tu
 
Tanga raha bhana ni wasafi wanalugha nzur kwa bed.. niulizeni mimi
 
Hawana lolote ukiniambia wana sifa ya ushirikina hapo ntakuelewa.
 
naishi huku ila c mzaliwa kwetu huko gesini., yan mnishushue tu lkn ndumba sana huku. Hapa majiran zangu kila mtu karoga mumewe mpk wananishauri ujinga na mie., tena kuna shoga angu mmoja huyo uwiiiiii kila ikiexpire anaenda kurenew., mume mshahara wote anampa mke. Tanga zaman cku hz hyo koz kila sehemu wanawake wamefuzu tena wana dip.,dgree na kuendelea
Hapo sawa na mijanaume ilivyo inaona eti mahaba kumbe imerogwa angalia tu huko wala sio pa kuamini.
 
Mmh basi kumbe ww bado hakuna raha kama unyamwezi lazima maji utaita mma
Aysha mimi mtoto wa Tanga ujue. Inafikia wakati nikishamtongoza mwanamke namuulizia kabila lake na nikishashtuka ni mzigua..basi sikurupuki nafanya maandalizi na mazoezi mechi ichezwe wikiend kama siku 3/wiki mbele..shughuli ninayokutana nayo kwa wazigua hawajahi kuniangusha hata siku moja.

Aysha niache niwasifie wazigua
 
Aysha mimi mtoto wa Tanga ujue. Inafikia wakati nikishamtongoza mwanamke namuulizia kabila lake na nikishashtuka ni mzigua..basi sikurupuki nafanya maandalizi na mazoezi mechi ichezwe wikiend kama siku 3/wiki mbele..shughuli ninayokutana nayo kwa wazigua hawajahi kuniangusha hata siku moja.

Aysha niache niwasifie wazigua
Haya bwana kila muwamba ngoma ngozi huvutia kwake...
 
Back
Top Bottom