Kwanini mabaunsa wengi ndiyo wamekuwa mashoga?

Ukipita Kinondoni, Sinza, Tabata na viwanja mbalimbali utagundua kwamba mashoga sasa ndiyo hao wavulana wanaoshinda gym wakibeba vyuma na kujenga miili.

Hali hii sina uhakika, ila nadhani inachochewa na madawa wanayomeza vijana kwa ajili ya kututumua misuli.

Huenda hizo food supplements zina vichocheo vya homoni za kike zinazowasababisha watumiaji watamani kuingiliwa.

Nakushauri tu, ndugu mjenga misuli usiyetaka kuwa shoga, jiepushe na madawa hayo. Kula vyakula vya asili vyenye protini kwa wingi nawe mwili wako utakaa vizuri tu.

Epuka shortcut
Siyo food suplemennts bali ni tamaa ya mazuri.

Wanapenda kulelewa, mashangazi wengi wamepukutika sasa wanalelewa na mamende. Analipiwa appartment, anapewa hela ya kula anachokikosa tu ni tumbo la uzazi.

Vijana wanapenda mteremko na yanawakuta cha kuwakuta.
 
kama unashinda gym kutanua kifua huku una njaa unategemea mwisho wake ni kitu gani, ikifika anahitaji msosi hana namna ya kuupata anaishia kuliwa tacle tu, maisha ya kuiga ni magumu sana lakini hawajifunzi wenzao ulaya instructors na hao mamisuli wanalipwa sio bongo upuusi mtupu
 
Mabaunsa wengi wanafanya mazoezi ya kubeba vitu vizito. Eneo la nyonga linapozidiwa uzito na mzigo husababisha misuli na neva zinazoendelea kuanzia kiunoni kushuka chini kutofanya kazi vizuri. Hata misuli ya miguu yao huwa dhaifu
 
Ukipita Kinondoni, Sinza, Tabata na viwanja mbalimbali utagundua kwamba mashoga sasa ndiyo hao wavulana wanaoshinda gym wakibeba vyuma na kujenga miili.

Hali hii sina uhakika, ila nadhani inachochewa na madawa wanayomeza vijana kwa ajili ya kututumua misuli.

Huenda hizo food supplements zina vichocheo vya homoni za kike zinazowasababisha watumiaji watamani kuingiliwa.

Nakushauri tu, ndugu mjenga misuli usiyetaka kuwa shoga, jiepushe na madawa hayo. Kula vyakula vya asili vyenye protini kwa wingi nawe mwili wako utakaa vizuri tu.

Epuka shortcut
Steroids increases your muscles decreases your dick.

#MaendeleoHayanaChama
 
Sijasikia wala sijaona baunsa shoga.

Au bujibuji wa gilesi mtikisiko kuna baunsa alikubutua now unamdiss.
Haha haha haha sasa wewe unashinda ndani tu, ukitoka unaenda kanisani. Tembelea viwanja vya starehe, hasa vile vyenye machangu utawaona mabaunsa walivyobize kusaka mabwana
 
Acheni unaa dhidi ya wapiga vyuma...kinachowaponza baadhi ya wapiga gym wa dar ni kuwa hawataki kaz na wanataka goodlife..hapo ndio inapelekea kuolewa na waarabu na wazee wa ilala
sio wabeba vyuma wa dar tu hata moro,singida,mwanza,arusha,moshi tena ndo usiseme tatizo la wabeba vyuma wanakaza sana matako hivyo hupelekea kupata bawasiri wanakua wanapata miwasho ambapo wakikunwa na **** basi wanajiskia faraja sana ndo hapo wanapouponza mfumo wa marinda yao
 
Ukipita Kinondoni, Sinza, Tabata na viwanja mbalimbali utagundua kwamba mashoga sasa ndiyo hao wavulana wanaoshinda gym wakibeba vyuma na kujenga miili.

Hali hii sina uhakika, ila nadhani inachochewa na madawa wanayomeza vijana kwa ajili ya kututumua misuli.

Huenda hizo food supplements zina vichocheo vya homoni za kike zinazowasababisha watumiaji watamani kuingiliwa.

Nakushauri tu, ndugu mjenga misuli usiyetaka kuwa shoga, jiepushe na madawa hayo. Kula vyakula vya asili vyenye protini kwa wingi nawe mwili wako utakaa vizuri tu.

Epuka shortcut

Hayo maeneo tajwa sio salama kabisa. Stay frosty gentlemen
 
Mi nko Simiyu nashangaa tu hizi mambo.
IMG-20190310-WA0002.jpg
 
Aisee..niliiona video ya Baunsa anaikalia chupa na yote ikaingia.....,hatari
 
Ukipita Kinondoni, Sinza, Tabata na viwanja mbalimbali utagundua kwamba mashoga sasa ndiyo hao wavulana wanaoshinda gym wakibeba vyuma na kujenga miili.

Hali hii sina uhakika, ila nadhani inachochewa na madawa wanayomeza vijana kwa ajili ya kututumua misuli.

Huenda hizo food supplements zina vichocheo vya homoni za kike zinazowasababisha watumiaji watamani kuingiliwa.

Nakushauri tu, ndugu mjenga misuli usiyetaka kuwa shoga, jiepushe na madawa hayo. Kula vyakula vya asili vyenye protini kwa wingi nawe mwili wako utakaa vizuri tu.

Epuka shortcut
Tupia kapicha!
 
Back
Top Bottom