Kwanini Maaskofu wa Katoliki wanahubiri neno la Mungu kwa upole tofauti na wenzao wa madhehebu mengine?

Toka pepooo,nimesema toka pepoooo,....shabarooo shabaroooo shakarobatomananaananaaaa,hankara shankara sadaka tamu sana.....!!
 
Wote ni wale wale lengo ni sadaka, aidha kwa ustaarabu au kwa kufokewa utaitoa tu.
 
Ni tenet( mwongozo ) wa ile dini,kwamba kama ukihuhubiri dini yetu ya 'Karismatiki' au sijui dini gani,basi lazima uhibiri kwa mihemuko( emotions).
 
Nimetoka kuelezwa na padre juzi kati ktk ibada ya KUABUDU EKARISTI kuwa wanafanya hivyo ili kuwaamsha wanaolala.
Ina maana wengi wa waumini wao wanakuwa hawasikilizi mahubiri au wanakuwa wamechoka au wanasinzia kwa mawazo
 
Ndio maana wameambiwa na papa wao wafirane wakakubali sababu mapadri wameandaliwa kuwa mapunga kwa kutoruhusiwa kuwa na mbususu
Sasa ukali wa kiume utatoka wapi, ni ushoga kwa kwenda mbele
 
kwasababu hawana Roho wa Mungu, hawajaokoka, wanahubiri kwa kutumia usomi na hekima ya kibinadamu, wala sio ile injili yenye uweza wa Mungu iletayo wokovu. wanaukataa wokovu, wanapinga issue ya kuokoka. that is why.
 
Wavaakobazi,wanatishia mazombi wao kuhusu adhabu ya kaburi utadhani hao mashehe walishawahi kufa waka fufuka,ujibga mtupu
 
Cha Kushangaza Bibilia ni mkusanyiko wa vitabu ambavyo Catholic ndo walivikusanya na kuunda hiyo Bibilia. Ni kituko kusema kuwa Roman Catholic ni Unbibilical🤣🤣. Ata hivyo vitabu vya Bibilia ndani ya Quraan Vimetokana na Catholic Bible.. Ukatolic Ukiuelewa utokuwa na Mawenge kama yako wewe unaesema Catholic is Unbibilical
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…