Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,207
- 128,005
1.Mgombea wa urais wa kudumu kupitia UKAWA.
2.Mtoa pesa na mdhamini wa chama.
3.Mtu mwenye heshima na anaenyenyekewa kuliko wote CDM.
4.Mjumbe wakamati kuu CDM.
Need i say more ?
mimi naona mapovu tu hapa hana cheo chochote.