Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,798
- 71,218
Mkuu hao uliowataja umeona wapi wamenyimwa nafasi ya kukipigania chama kwa ngazi husika? Mbona Wenje tunaye katika ngazi ya Kanda na mchango wake unaonekana? Hata huko Musoma kwa Vicent mbona shughuli zake zinaendelea kama kawaida akiwa kama mwenyekiti wa Mkoa wa Mara ambao una majimbo matatu yenye Wabunge wa Chadema?
Unanitia mashaka sana na hoja zako sometimes
Unanitia mashaka sana na hoja zako sometimes