Malaria Sugu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2009
- 2,653
- 264
hhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh
Last edited by a moderator:
Kwanini matangazo ya serekali hupewa magazaeti ya dini moja tu na mengine ya dini nyengine hunyimwa. kwa mfano ukiangalia msemakweli na mengine hujaa matangazo ya govt. lkn anuur, alhuda wao hunyimwa hata wakifuatilia? kUlikoni hapa
Kwanini matangazo ya serekali hupewa magazaeti ya dini moja tu na mengine ya dini nyengine hunyimwa. kwa mfano ukiangalia msemakweli na mengine hujaa matangazo ya govt. lkn anuur, alhuda wao hunyimwa hata wakifuatilia? kUlikoni hapa
Mkuu buchana umempa jibu zuri, make hajatwambia kuwa waliomba wakanyimwa au vipi.Labda anafikiria wanletea nyumbani kwao.
Umeona eeh! Haya makubwa
Huwa wanaomba Tenda na kunyimwa. Pia ukiangalia maonyo na vitisho vingi kutoka Serikalini huenda kwa Magazeti ya Waislam. Hii yote ndio ile ile mpe Mbwa jina baya ili upate sababu ya kumuua.
Huwa wanaomba Tenda na kunyimwa. Pia ukiangalia maonyo na vitisho vingi kutoka Serikalini huenda kwa Magazeti ya Waislam. Hii yote ndio ile ile mpe Mbwa jina baya ili upate sababu ya kumuua.
Nadhani labda ni kutooelewa, mimi nanavyojua tukitaka kutoa tangazo la serikali katika gazeti, huwa tunaandaa, then tunachagua magazeti tunayoyataka na kuwaomba watuletee profoma invoice, kisha ndio tunaamua nani wa kumpa kazi, so kiufupi tunachagua wenyewe nani wa kumpelekea kazi.
kunamaofisa ndani ya serekali wanachanganya Dini na utendaji wao wa kazi, ndio maan hawataki kuwapatia magazeti ya Annur na Alhuda matangazo yao na hupeleka sadaka zao kwenye msema kweli kwa ktumia migongo ya watzKwanini matangazo ya serekali hupewa magazaeti ya dini moja tu na mengine ya dini nyengine hunyimwa. kwa mfano ukiangalia msemakweli na mengine hujaa matangazo ya govt. lkn anuur, alhuda wao hunyimwa hata wakifuatilia? kUlikoni hapa
Kwanini matangazo ya serekali hupewa magazaeti ya dini moja tu na mengine ya dini nyengine hunyimwa. kwa mfano ukiangalia msemakweli na mengine hujaa matangazo ya govt. lkn anuur, alhuda wao hunyimwa hata wakifuatilia? kUlikoni hapa
jee kwanini yasinyimwe yote ya dini, na yakapewa yale republic je msemakweli lnasomwa na watu weng? nadhan imefika hatua tujibu hoja.Ha ha ha ha ha ha ha ha !!! Lete data ku-prove lalamoko lako mkuu!!! Pia mteja kuamua kupeleka tangazo lake katika gazeti huwa anachagua credible newspapers ambalo huwa linasomwa na wengi ili tangazo lile lipate fahamika kwa wengi. Pia anatizama substances za magazeti hayo, huwa lengo lake ni nini?? Je linaongelea mambo ya jamii au ni kuponda au pia kwa maana nyingine halipo objective?? Kama gazeti limesheheni story za uchochezi nani atapeleka kitu kule au kama linazungumzia tu tabaka fulani la watu ni nani atapeleka hata tangazo la kuua mende huko!!!???
Halafu isitoshe kama ni kweli, ninaamini hawa wenye mamlaka ya kutoa matangazo ya serikali si wakristo pekee bali hata waislam wapo!!! Je ni kwa nini hata hao Waislam wasipeleke tangazo kwa gaeti lao!!!! Ni hatari!!! Hata wenzao wanaona tangazo halitakuwa na inteded impact kama litapitia kwa Annur na alhuda!!! Majina yenyewe yanatabu kidogo, yana udini mno na serikali haina dini. Re-launch your products na change the name na muwe objective kwenye uandishi na wateja mtapata!!!! Take my advice!!!