Kwanini Liwe gazeti la Msemakweli na Sio Annur

jee kwanini yasinyimwe yote ya dini, na yakapewa yale republic je msemakweli lnasomwa na watu weng? nadhan imefika hatua tujibu hoja.
Mie kuna wakati ninafanya kazi za serikali, kuna kipindi inafika mnataka kuwafikia wananchi kuwaelimisha kuhusu mikakati fulani iliyopangwa.
Hapa ndo huwa viongozi wa dini na vikundi mbalimbali ktk jamii wanashirikishwa, jaribu kufuatilia utaona.
sasa kulingana na bajeti na pia walengwa watakaofikiwa ndo vitu kama misikiti, makanisa wanatumiwa kuwafikia watu mbalimbali. Kama alivyosema mdau hapo juu Jina tu la gazeti lugha yake ieleweke kwa jamii sio sects, kama unakashifu viongozi wa mamlaka na gazeti linapelekwa kama sampuli ili wachague unafikiri watalichagua. Sasa hapo unakuwa umebomoa badala ya kujenga, hutakuwa shirika na watu wa aina tofauti na wewe.
 
Matangazo ni biashara na yanalipiwa. Nakuomba utueleze kama unafahamu bei za kuweka matangazo kwenye magazeti tofauti tofauti ili tuone kama kuna upendeleo serikali imefanya.

Vinginevyo acha kabisa mijadala yenye mahusiano ya kidini kama hauna vielelezo, au hatua kali itachukuliwa juu yako.
 
Mfumwa hanini urereha vindu tha kirundu? Acha kua na udini bana sio poa hata nini.Hapa mimi naona ishu ni hao mnaosema wananyimwa huwa kweli wanaomba na je tunataka wapewe tu kwa kuwa ni waislamu au?Udini utawapeleka pabaya

Mkuu mpaka unatumia kikabila, kazi ipo. Ukweli utasemwa tu ndugu yangu.
 
kunamaofisa ndani ya serekali wanachanganya Dini na utendaji wao wa kazi, ndio maan hawataki kuwapatia magazeti ya Annur na Alhuda matangazo yao na hupeleka sadaka zao kwenye msema kweli kwa ktumia migongo ya watz

Toa data, acha pumba!
 
Bado ni hearsay, tuambie tenda ilitangazwa lini, biders walikuwa akina nani, sifa zilikuwaje, nani alikuwa na sifa na akanyimwa? Gazeti gani lilipewa vitisho, kwa nini lilipewa vitisho na baada ya vitisho lilichukua hatua gani! Usilete propaganda isiyokuwa na kichwa wala miguu. Unaleta chuki na uchochezi usiokuwa na msingi!

Sasa ndio ujue kuwa hivi vitu huwa havitangazwi, wanaamua wenyewe hao wenye matangazo kupeleka wanakotaka. Na kwakuwa wengi wao ni Wakristo wanasaidia magazeti ya Kikristo. Hivyo hawatangazi ili kuficha maovu yao na kupeleka matangazo wanakotaka. Magazeti ya Kiislam hutishwa mno, nenda idara ya habarimaelezo, uliza magazeti gani katika miaka miwili yalipewa onyo zaidi. Utathibitisha haya nisemayo.
 
Sasa ndio ujue kuwa hivi vitu huwa havitangazwi, wanaamua wenyewe hao wenye matangazo kupeleka wanakotaka. Na kwakuwa wengi wao ni Wakristo wanasaidia magazeti ya Kikristo. Hivyo hawatangazi ili kuficha maovu yao na kupeleka matangazo wanakotaka. Magazeti ya Kiislam hutishwa mno, nenda idara ya habarimaelezo, uliza magazeti gani katika miaka miwili yalipewa onyo zaidi. Utathibitisha haya nisemayo.

Umejuiliza ni kwa nini yalipewa onyo zaidi?usijaribu kutupandikizia hisia zako za udini zisizo na kichwa wala miguu hapa.wewe unataka magazeti mengine yapewe onyo bila kujali yamekosea au la?hivi huwezi kuwa na fikra zisizo na ubaguzi wowote?unalalamika upate sympathy hata pasipo na umuhimu.nakushauri jaribu kusoma mgazeti ya alnnur,alhuda,msemakweli na mengine unayolalamikia ukiwa umetulia bila mawazo ya kidini utatambua tofauti nini kati yake.naamini kwa watu wa aina hii hata ukifanyiwa nini utalalamika tu kwani inaelekea hujui utakalo.
 
nakushauri jaribu kusoma mgazeti ya alnnur,alhuda,msemakweli na mengine unayolalamikia ukiwa umetulia bila mawazo ya kidini utatambua tofauti nini kati yake.naamini kwa watu wa aina hii hata ukifanyiwa nini utalalamika tu kwani inaelekea hujui utakalo.

Wewe kama sio mdini umejuaje kuwa mimi ni mdini?, wameshikwa pabaya, mliyokuwa mnatufanyia toka uhuru sasa hatutaki. Tutapiga kelele mpaka tuwe tunapata haki sawa. Haiwezekani Serikali kila tangazo lipelekwe kwa Magazeti ya Wakristo bila hata Magazeti ya Waislam kupata lolote. Ukweli ndio huo kuwa Serikali inawabeba Wakristo.
 
Wewe kama sio mdini umejuaje kuwa mimi ni mdini?, wameshikwa pabaya, mliyokuwa mnatufanyia toka uhuru sasa hatutaki. Tutapiga kelele mpaka tuwe tunapata haki sawa. Haiwezekani Serikali kila tangazo lipelekwe kwa Magazeti ya Wakristo bila hata Magazeti ya Waislam kupata lolote. Ukweli ndio huo kuwa Serikali inawabeba Wakristo.

Mkuu hainihitaji kuwa mwendawazimu kumtambua mwendawazimu.ni nini ulichofanyiwa toka uhuru,kama sio ufinyu wa fikra zako tu.sijakukataza kupiga kelele na hapo umesema vema kwamba zako si hoja ila ni kelele,
I'm out.
 
Sasa ndio ujue kuwa hivi vitu huwa havitangazwi, wanaamua wenyewe hao wenye matangazo kupeleka wanakotaka. Na kwakuwa wengi wao ni Wakristo wanasaidia magazeti ya Kikristo. Hivyo hawatangazi ili kuficha maovu yao na kupeleka matangazo wanakotaka. Magazeti ya Kiislam hutishwa mno, nenda idara ya habarimaelezo, uliza magazeti gani katika miaka miwili yalipewa onyo zaidi. Utathibitisha haya nisemayo.

Bado sijaona data, blah blah tu. Kama ungetoa data tungekuwa na nafasi ya kuwakemea wanaofanya hivyo. Kwa sasa hivi tunakukemea wewe kwa uchochezi!
 
Mchungaji atiwa mbaroni kwa kukutwa na viungo vya albino

Habari Nyingine
• Mchungaji kortini kwa madai ya kukutwa na viungo vya binadamu 21.02.2009 [Habari Zaidi]
• Mwanahabari ‘anasa’ muuza viungo vya albino 21.07.2008 [Habari Zaidi]
• Wawili mbaroni wakisaka albino 17.12.2008 [Habari Zaidi]


NA PETER KATULANDA, MWANZA

WATU wanane wakiwemo waganga wa kienyeji wawili na Mchungaji wa Kanisa la Baptisti la wilayani Magu, wametiwa mbaroni wakiwa na viungo vya albino, Aron Mongo, aliyeuawa Mkolani wilayani Nyamagana jijini Mwanza.

Watuhumiwa hao walikamatwa juzi kwa nyakati tofauti, baadhi yao akiwemo mchungaji wakiwa katika harakati za kutafuta soko la kuuza kiungo hicho.

Kamanda wa Polisi mkoani Mwanza, Jamal Rwambow, akitoa taarifa za kukamatwa kwa wauaji hao jana, alisema polisi limewakamata watuhumiwa wakiwa na mfupa wa mguu ambao walikiri ni wa mlemavu huyo aliyekuwa mkazi wa Ibanda Relini Mkolani.

Alisema mbali na mfupa huo, walikamatwa wakiwa na nyama za marehemu ambazo walizitupa sehemu tofauti, ambazo zimekutwa zimeharibika na polisi wamezihifadhi kwa ajili ya vielelezo na uchunguzi wa kitaalamu.

Rwambow alisema kukamatwa kwao kumetokana na taarifa za raia wema wawili ambao jeshi hilo limewazawadia sh. Nilioni moja kama lilivyotoa ahadi kwa wananchi kuwa atakayefanikisha kupatikana kwa watuhumiwa wa mauaji ya Mongo, watazawadiwa kiasi hicho.

Aliwataja waliokamatwa kuwa ni Mchungaji Alfred Komanya (35) wa Kanisa la Baptist Irungu wilayani Magu, Chacha Jeremiah (30) na Mathew Mlimi (21) wakazi wa Mahina wilayani Nyamagana jijini hapa.

Waganga waliokamatwa ni Gervas Lutufu (58) mkazi wa Nyanguge wilayani Magu na Kishosha Lutambi au Komanya (60) mkazi wa Mahina wilayani Nyamagana ambao pamoja na viungo hivyo, wamekutwa wakiwa na nyara za serikali na tunguli za uganga.

Nyara walizokutwa nazo ni ngozi mbili za wanyama ambao hawakufahamika mara moja, ndege mmoja aliyekaushwa (hakufahamika jina) na mkia unaodhaniwa kuwa wa nyumbu.

Wengine ni Paschal Lugoye au Mashiku (28) mkazi wa kijiji cha Semba Katani Buhongwa, Paul Lumalija (36), mkazi wa kijiji cha Kishili Kanindo Katani Igoma na Alex Joseph au Bugwema Silola (24) mkazi wa Mahina.

Rwambow alisema baada ya kuhojiwa watumiwa walikiri kuhusika na mauaji ya Aron Mongo yaliyotokea Juni 26, mwaka huu Ibanda Relini.

Alifafanua kuwa wamebaini mganga wa jadi Kishosha, aliwahi kumtibu marehemu na mahali anapoishi si mbali sana na yalipokuwa makazi ya albino huyo na kuwa mganga na mchungaji huyo ni ndugu.

Kamanda huyo alisema polisi bado inaendelea na uchunguzi wa kina dhidi ya watuhumiwa hao na mtandao mzima wa wauaji wa walemavu hao na kuwaomba wananchi wazidi kulipa ushirikiano ili litokomeze mauaji hayo ya kikatili.
 
Wewe kama sio mdini umejuaje kuwa mimi ni mdini?, wameshikwa pabaya, mliyokuwa mnatufanyia toka uhuru sasa hatutaki. Tutapiga kelele mpaka tuwe tunapata haki sawa. Haiwezekani Serikali kila tangazo lipelekwe kwa Magazeti ya Wakristo bila hata Magazeti ya Waislam kupata lolote. Ukweli ndio huo kuwa Serikali inawabeba Wakristo.

Hujui hata haki ipi unadai. Ndio maana kuna waliojilipua kwa mabomu kwa kuwa reasoning kama ya kwako! Huna data, halafu unalalamikia hewa!
 
Ushahidi upo na sasa upo kwa Vyombo Husika. Kila kitu kipo documented.... Itakapofika Muda wake tutaweka madesa yote Hadharani...
Waulize TRA....
Bunge......na Taasis zingine!!!

Ni Wizara ya Fedha pekee tena ktk Matangazo ya Wastaafu wa Afrika Mashariki ndio walibalance kotekote...!!!
 
Jf siku hizi imevamiwa kweli,hivi watu wengine wakoje? Tubadilike jamani na hizi mada zinazohusu mambo ya dini tuachane nazo maana nyingi za mada hizi mwishilio wake huwa ni matusi,kukashifiana kusikokuwa na mpango mfano kuna mada nimeisoma ikanishangaza,Eti Yesu alitahiriwa mbona wakristo hawatahiriwi? hivi kweli wewe unaeleta mada kama hii una strong points za kulielezea hilo pamoja na evidence au unaandika tu ili kuleta mitafaruku huku jamvini?

Hatuko hapa kujadili mambo ya udini,tafuteni mahali pengine ambapo patakuwa sahihi kwenu kujadili hizi mada zenu za ajabu ajabu. Toeni mada zitakazoelimisha jamii kwa ujumla na sio mada za kuleta matabaka na chuki za waziwazi.
 
Magazeti ya Anuur na Alhuda hayana tofauti na magazeti ya udaku. Lugha na habari zao zinawafaa watu wenye akili zinazofanana na hizo habari peke yao. Hayana maadili hata kidogo maana yamejaa kashfa, udini na lugha za kejeli na malalamiko yasiyokoma kama tunayoyaona hapa ya akina MzeewaHoja na kundi lake. Sasa mtu mwenye akili timamu na mwenye kujua maana ya tangazo hawezi kuyapa magazeti kama hayo maana ni kupoteza pesa bure. Na isitoshe jamaa wanaweza kulitumia tangazo lako kukuzushia wanaloweza maana ndo kazi yao hawana lingine la maana hawa jamaa. Ni watu hatari sana katika jamii ya wastaraabu.
 
Last edited:
Magazeti ya Anuur na Alhuda hayana tofauti na magazeti ya udaku. Lugha na habari zao zinawafaa watu wenye akili zinazofanana na hizo habari peke yao. Hayana maadili hata kidogo maana yamejaa kashfa, udini na lugha za kejeli na malalamiko yasiyokoma kama tunayoyaona hapa ya akina MzeewaHoja na kundi lake. Sasa mtu mwenye akili timamu na mwenye kujua maana ya tangazo hawezi kuyapa magazeti kama hayo maana ni kupoteza pesa bure. Na isitoshe jamaa wanaweza kulitumia tangazo lako kukuzushia wanaloweza maana ndo kazi yao hawana lingine la maana hawa jamaa. Ni watu hatari sana katika jamii ya wastaraabu.
Kuuuuumbeeee!
 
Mchungaji atiwa mbaroni kwa kukutwa na viungo vya albino

Habari Nyingine
• Mchungaji kortini kwa madai ya kukutwa na viungo vya binadamu 21.02.2009 [Habari Zaidi]
• Mwanahabari ‘anasa’ muuza viungo vya albino 21.07.2008 [Habari Zaidi]
• Wawili mbaroni wakisaka albino 17.12.2008 [Habari Zaidi]


NA PETER KATULANDA, MWANZA

WATU wanane wakiwemo waganga wa kienyeji wawili na Mchungaji wa Kanisa la Baptisti la wilayani Magu, wametiwa mbaroni wakiwa na viungo vya albino, Aron Mongo, aliyeuawa Mkolani wilayani Nyamagana jijini Mwanza.

Watuhumiwa hao walikamatwa juzi kwa nyakati tofauti, baadhi yao akiwemo mchungaji wakiwa katika harakati za kutafuta soko la kuuza kiungo hicho.

Kamanda wa Polisi mkoani Mwanza, Jamal Rwambow, akitoa taarifa za kukamatwa kwa wauaji hao jana, alisema polisi limewakamata watuhumiwa wakiwa na mfupa wa mguu ambao walikiri ni wa mlemavu huyo aliyekuwa mkazi wa Ibanda Relini Mkolani.

Alisema mbali na mfupa huo, walikamatwa wakiwa na nyama za marehemu ambazo walizitupa sehemu tofauti, ambazo zimekutwa zimeharibika na polisi wamezihifadhi kwa ajili ya vielelezo na uchunguzi wa kitaalamu.

Rwambow alisema kukamatwa kwao kumetokana na taarifa za raia wema wawili ambao jeshi hilo limewazawadia sh. Nilioni moja kama lilivyotoa ahadi kwa wananchi kuwa atakayefanikisha kupatikana kwa watuhumiwa wa mauaji ya Mongo, watazawadiwa kiasi hicho.

Aliwataja waliokamatwa kuwa ni Mchungaji Alfred Komanya (35) wa Kanisa la Baptist Irungu wilayani Magu, Chacha Jeremiah (30) na Mathew Mlimi (21) wakazi wa Mahina wilayani Nyamagana jijini hapa.

Waganga waliokamatwa ni Gervas Lutufu (58) mkazi wa Nyanguge wilayani Magu na Kishosha Lutambi au Komanya (60) mkazi wa Mahina wilayani Nyamagana ambao pamoja na viungo hivyo, wamekutwa wakiwa na nyara za serikali na tunguli za uganga.

Nyara walizokutwa nazo ni ngozi mbili za wanyama ambao hawakufahamika mara moja, ndege mmoja aliyekaushwa (hakufahamika jina) na mkia unaodhaniwa kuwa wa nyumbu.

Wengine ni Paschal Lugoye au Mashiku (28) mkazi wa kijiji cha Semba Katani Buhongwa, Paul Lumalija (36), mkazi wa kijiji cha Kishili Kanindo Katani Igoma na Alex Joseph au Bugwema Silola (24) mkazi wa Mahina.

Rwambow alisema baada ya kuhojiwa watumiwa walikiri kuhusika na mauaji ya Aron Mongo yaliyotokea Juni 26, mwaka huu Ibanda Relini.

Alifafanua kuwa wamebaini mganga wa jadi Kishosha, aliwahi kumtibu marehemu na mahali anapoishi si mbali sana na yalipokuwa makazi ya albino huyo na kuwa mganga na mchungaji huyo ni ndugu.

Kamanda huyo alisema polisi bado inaendelea na uchunguzi wa kina dhidi ya watuhumiwa hao na mtandao mzima wa wauaji wa walemavu hao na kuwaomba wananchi wazidi kulipa ushirikiano ili litokomeze mauaji hayo ya kikatili.
Nyakageni
 
Back
Top Bottom