Hehehehe porojo za miaka yotr hizo.Aanze na Mbowe anaekula ruzuku ya chama.
hamchoki??
Hehehehe porojo za miaka yotr hizo.Aanze na Mbowe anaekula ruzuku ya chama.
Sio mapenzi ni mahabamahaba ya dhati
Mmh!We jamaa utakua siyo mzima kichwani. Yaani huu upuuzi wako unataka kumuaminisha nao nani? Eti Lissu atashinda kwa 85%. Mtu akurupuke alipotoka huko aje ashinde urais, wakati kuna watu wamefanya kazi ya kuijenga na kuibadilisha nchi hii kwa miaka 5 bila kuchoka. Au unahisi watanzania ni wajinga kama wewe. Subiri uone tarehe 28
Waulize Lowasa alimpigusha magoti?? Si ndio kwanza alikuwa akipiga push up?Usikariri, sio kila mzungu ni Padre!!
Inaweza kuwa kweli. Kwa tume huru kabisa. 85% chaapWatu wengi Sana wanataka Jiwe ashindwe hasa wanaccm wenzie kwa aliyowatendea ila hawataki kujionyesha hadharani , wewe endeleeni kupigania mkate wako maana Jiwe 28 oktoba anasepa na nyie vibaraka wake mtafute kazi zingine za kufanya .View attachment 1593525
'Watu wengi wasiokuwa na kazi maalum' kwa nchi au vyama vyenye nia njema huwafanya watu hawa kuwa na 'kazi maalu' kinyume chake uwingi wao huonyesha umaskini wa nchi na ni bomu kwa watawalaJibu ni moja tu. Watu wengi wasiokua na shughuli maalum ndo wamejaa mitandaoni, na Wengi wao ni wa chama kilee cha Mbowe.
Nimefatilia post nyingi, wengi ili wapate wachangiaji lazima jina la Lissu lihusike kwenye headline.
Zingine zisizomtaja Kamanda Lissu hazidumu mda mrefu wala hazipati wachangiaji wengi. Watu wanafurahi headline inayoanza na chochote kinachomuhusu Lissu.
Baadhi wanateseka sana kwa anachokifanya Kamanda.
NINI SIRI YA KUNGAA KWA LISSU NA JINA LAKE?
Mkuu na wewe huna kazi ya kufanyaJibu ni moja tu. Watu wengi wasiokua na shughuli maalum ndo wamejaa mitandaoni, na Wengi wao ni wa chama kilee cha Mbowe.






The winner takes all
Wewe pia mmojawapo wasiokua na shughuliJibu ni moja tu. Watu wengi wasiokua na shughuli maalum ndo wamejaa mitandaoni, na Wengi wao ni wa chama kilee cha Mbowe.
By Bishop MwingiraYou can not conquer a victor
Wamewazidi mashabiki wa yule jamaa mwenye Kichwa kama Bedford la kizamani?Jibu ni moja tu. Watu wengi wasiokua na shughuli maalum ndo wamejaa mitandaoni, na Wengi wao ni wa chama kilee cha Mbowe.
Alivyo na akili fupi atakwambia hela kapewa na mabeberuMtu asiwe na shughuli maalum kisha awe na uwezo wa kuwepo mitandaoni? Hela anatoa wapi?
Ikiwemo wewe mvuta bangiJibu ni moja tu. Watu wengi wasiokua na shughuli maalum ndo wamejaa mitandaoni, na Wengi wao ni wa chama kilee cha Mbowe.
Na wewe uliyeandika jeJibu ni moja tu. Watu wengi wasiokua na shughuli maalum ndo wamejaa mitandaoni, na Wengi wao ni wa chama kilee cha Mbowe.
na wewe ukiwemoJibu ni moja tu. Watu wengi wasiokua na shughuli maalum ndo wamejaa mitandaoni, na Wengi wao ni wa chama kilee cha Mbowe.