Kwanini Lissu, anang'aa hivi?

Kwanini Lissu, anang'aa hivi?

Nimefatilia post nyingi, wengi ili wapate wachangiaji lazima jina la Lissu lihusike kwenye headline.

Zingine zisizomtaja Kamanda Lissu hazidumu mda mrefu wala hazipati wachangiaji wengi. Watu wanafurahi headline inayoanza na chochote kinachomuhusu Lissu.

Baadhi wanateseka sana kwa anachokifanya Kamanda. NINI SIRI YA KUNGAA KWA LISSU NA JINA LAKE?
Ni mbarikiwa, asiyetunza chuki, asiyelipa kisasi na mwalimu was haki.
 
Nimefatilia post nyingi, wengi ili wapate wachangiaji lazima jina la Lissu lihusike kwenye headline.

Zingine zisizomtaja Kamanda Lissu hazidumu mda mrefu wala hazipati wachangiaji wengi. Watu wanafurahi headline inayoanza na chochote kinachomuhusu Lissu.

Baadhi wanateseka sana kwa anachokifanya Kamanda. NINI SIRI YA KUNGAA KWA LISSU NA JINA LAKE?
Lissu kila analolifanya lipo very Calculated. Ni mpinzani ambaye anajua ku provoke na yupo smart kwenye masuala ya Sheria na Kanuni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huko kwenye dunia ya television zote za Tz ni magufuli Tu
Tuanzie hapa labda halafu turudi Kwa lissu
 
4890980.jpg
 
Nimefatilia post nyingi, wengi ili wapate wachangiaji lazima jina la Lissu lihusike kwenye headline.

Zingine zisizomtaja Kamanda Lissu hazidumu mda mrefu wala hazipati wachangiaji wengi. Watu wanafurahi headline inayoanza na chochote kinachomuhusu Lissu.

Baadhi wanateseka sana kwa anachokifanya Kamanda. NINI SIRI YA KUNGAA KWA LISSU NA JINA LAKE?
Atakuwa anatumia hela za mabeberu/wahisani kununua wachangiaji mitandaoni.

Mawazo ya kilumumba haya
 
Atakuwa anatumia hela za mabeberu/wahisani kununua wachangiaji mitandaoni.

Mawazo ya kilumumba haya
Kama chama mbogamboga mnanunuliwa kutoa mchango wenu wa maoni kwa maslahi ya chama.waliowengi humu wanatoa mchango was kizalendo kwa nchi ya o kwa gharama zao.maana halisi no kwa uzalendo halisi.
 
Anang'aa kwa kipi alichoifanyia Tanzania/au hata kwenye jimbo lake tu lamaana ni lipi alilofanya?
Amewatoa jela bure watz 450 waliozulumiwa maeneo yao na kubambikwa kesi wakafungwa maisha na Utawala dhalimu wa mzee wa lupaso walipopinga kuporwa ardhi zao zenye madini.
Amewatetea wengi Sana waliostakiwa kwa kesi za makosa ya mitandao za Utawala huu dhalimu.
Atabadili sheria nyingi kandamizi za awamu hii
 
Nimefatilia post nyingi, wengi ili wapate wachangiaji lazima jina la Lissu lihusike kwenye headline.

Zingine zisizomtaja Kamanda Lissu hazidumu mda mrefu wala hazipati wachangiaji wengi. Watu wanafurahi headline inayoanza na chochote kinachomuhusu Lissu.

Baadhi wanateseka sana kwa anachokifanya Kamanda. NINI SIRI YA KUNGAA KWA LISSU NA JINA LAKE?
Tafuta clip ya Mtumishi wa Mungu Mwingira akimuelezea Lissu then utapata majibu ya hayo maswali yako ndugu!!
 
View attachment 1593293

Hawa pia hawana shughuli!
Na pia unaosema hawana kazi,kumbukeni mna sera yenu ya ubaguzi halafu mnatudanganya madndeleo hayana vyama.Wakati mnasema maendeleo yataenda kwa waliowachagua.Acheni aibu hiyo.Na kwa nanna hiyo hampaswi kutudanganya nyie wazalendo na mnaweza kuleta maendeleo kwenye taifa letu.
 
Nimefatilia post nyingi, wengi ili wapate wachangiaji lazima jina la Lissu lihusike kwenye headline.

Zingine zisizomtaja Kamanda Lissu hazidumu mda mrefu wala hazipati wachangiaji wengi. Watu wanafurahi headline inayoanza na chochote kinachomuhusu Lissu.

Baadhi wanateseka sana kwa anachokifanya Kamanda. NINI SIRI YA KUNGAA KWA LISSU NA JINA LAKE?]
When Jesus says Yes nobody Can say NO
 
Back
Top Bottom