Hawakumualika kweli, Gumbo alihofia akialikwa akaacha kupewa mic wananchi watachukia na pia angepewa mic angeweza kuwakosoa Live.Mkuu Ngongo wewe ni mwanaArusha bila shaka...je ni kweli hakualikwa?
Ni Palestine na wayahudiGambo LA lema ni maji na umeme .
Bungeni Wapinzani huongea vingi vizuri lakini kazi ipo kwenye utekelezaji, CCM huwa hawataki kupeleka maendeleo kwa majimbo ya Wapinzani na hata yakipelekwa hupelekwa kwa mbinde pengine kwa kuona Aibu tu.Huko Bungeni amewasemea nini wanaArusha?
Lipumba ni CCM pia ni profeselii wa Olijino comedy, kichwani ni mtupu alichosomea chote kakisahau kichwani kasalia na Elimu ya darasa la nne pekee, kilichobaki ni kula pesa za CCM kisha anaenda kufanya fujo CUF kuiba Ruzuku ya CUF kwa kusaidiwa na Msajili wa vyama, Lipumba kwa sasa ndiyo mwanasiasa fala na mshamba kuliko wote nchini.Kwani lipumba ni mbunge wa Arusha?
Simple answer. Kisa rais amekuja haina maana ndio ukatangaze shida . Simply kama mmbunge anawasilisha shida zake bungeni. Otherwise kutakuwa hakuna kazi ya bunge. Yaan wanamtega rais akija kwenye majimbo yao then wanasema shida zaoYeye kama mbunge Matatizo na changamoto yanawasilishwa bungeni sio Sheikh Amri Abeid
Hayo mambo ya majukwaani ni kwa aliowateua na wanaoreport kwake tu
Pia alimkataa fisadiLipumba ni CCM pia ni profeselii wa Olijino comedy, kichwani ni mtupu alichosomea chote kakisahau kichwani kasalia na Elimu ya darasa la nne pekee, kilichobaki ni kula pesa za CCM kisha anaenda kufanya fujo CUF kuiba Ruzuku ya CUF kwa kusaidiwa na Msajili wa vyama, Lipumba kwa sasa ndiyo mwanasiasa fala na mshamba kuliko wote nchini.
Kule kushangiliwa kwa Lema pale kanisani Leo ni ishara tosha kuwa anawawakilisha vyema watu wake was ArushaHuko Bungeni amewasemea nini wanaArusha?
Fisadi yupi? Richmond ni ya kikwete kunbuka Lipumba aliasi wenzake kipindi cha kampeni akachukua Dola milion 1.5 toka kwa akina membe na CCM akatorokea Rwanda kuunda kikundi cha Uasi kwa ajili ya kuwahujumu Wapinzani ni Fisadi na yeye pia ni mtu Hatari sana kwani hata Nissan nyeupe alileta watu toka Rwanda kuja kushirikiana na Heri Kisanduku makapero kumteketeza Tundu Lisu, Mungu hapendi Ujinga wake Lipumba ndiyo maana kule Rwanda alifeli na michepuko ikala pesa zake zote mpaka akapagawa na kurejea Tanzania kuja kuwahujumu Wapinzani live.Pia alimkataa fisadi
Ujinga umekujaa kichwaniLema sio kiongozi..yule ni mwanaharakati wa vurugu..kunapokuwepo vurugu na maandamano kwake yeye ndio mafanikio