Kwanini Lema hakuwepo uwanja wa Sheikh Amri Abeid kuwasilisha matatizo yanayoikabili Arusha?

Kuna maswala kama wananchi walionyeshewa na mvua au kupigwa jua au kuamka alfajiri kupiga kura na kumchagua muwakilishi bungeni ni lazima wajiulize.

Naamini na wengi tunaamini kuwa lengo kubwa na muhimu la mbunge kama muwakilishi wa wananchi ni kufikisha hoja za wananchi wake kwa serikali na kuhakikisha zinapatiwa ufumbuzi.

Jambo hili hufanyika bungeni kwa asilimia kubwa lakini pia hufanyika pindi inapojitokeza fursa kama vile ziara za viongozi wa serikali kitaifa.

Leo hii Arusha imepata bahati nyingine au fursa nyingine ya kutoa nyongo au kuelezea changamoto za wananchi wake.

Mrisho Gambo aliwakilisha Serikali ya mkoa kuelezea mafanikio na changamoto za kuwaletea maendeleo wanaArusha.

Pia mbunge mteule wa Arusha Bi Magige alitumia fursa kueleza baadhi ya dukuduku za wanaaArusha.

Nimeshangaa kutokuwepo kwa mbunge wa kuchaguliwa wa jimbo la Arusha mjini katika ziara hii nyeti ili naye atumie fursa kufikisha ujumbe mbadala wa matatizo ya Arusha ...ujumbe ambao hakuwahi kuutoa bungeni au aliutoa bungeni lakini haujafanyiwa kazi.

Kwangu mimi hii ni fursa iliyopotezwa kwa makusudi na muwakilishi wa wananchi.

HOJA YANGU NI NINI HASWA?

1- Kwanini Lema ameamua kutokuwepo kwenye ziara hii na kuwawakilisha wananchi?

2- Je, jambo hili sio kuwapotezea haki ya uwakilishi watu wa Arusha?

3- Je, umuhimu wa Lema katika jimbo hili hauna maana?

4- Je, Lema alinyimwa kuwepo kwenye ziara hii au alitumiwa mualiko na akagoma kufika?

5- Je, mbunge Lema anawakilisha chama chake tu au anapaswa kuwawakilisha wananchi wote wa Arusha mjini?

6- Je, Lema ana hasira sana na polisi wa Arusha na hajali polisi waliounguliwa nyumba?

7- Je, Lema hafurahishwi na amani iliyopo Arusha kwa sasa?

8- Je, Lema amekatazwa na Chama chake kuwepo kwenye ziara hii?

9- Ama Lema anaamini katika kuwasilisha matatizo ya WanaArusha kwa wazungu mfano EU?

10- Au Lema kaona wananchi wamemkataa?

Maswali ni mengi ila jibu official linahitajika kwa wapiga kura wa Arusha juu ya hii tabia ya kususa iliyooneshwa na mbunge wao.

Pongezi kwa mbunge ole millya kwa kujitokeza jana pale Mererani na pia pongezi kwa meya wa jiji kwa kuwepo kwenye hafla hii ya polisi.
Mbona wananchi wa sugu huwaulizi mwakilishi wao yuko wapi
Hiki kiwonder chenu ikifika 2020 mtazalishwa sana
 
Kwa dhihaka za Juma Ponda Mali kwa wapinzani hata mm nisingekuwepo
 
Kuna maswala kama wananchi walionyeshewa na mvua au kupigwa jua au kuamka alfajiri kupiga kura na kumchagua muwakilishi bungeni ni lazima wajiulize.

Naamini na wengi tunaamini kuwa lengo kubwa na muhimu la mbunge kama muwakilishi wa wananchi ni kufikisha hoja za wananchi wake kwa serikali na kuhakikisha zinapatiwa ufumbuzi.

Jambo hili hufanyika bungeni kwa asilimia kubwa lakini pia hufanyika pindi inapojitokeza fursa kama vile ziara za viongozi wa serikali kitaifa.

Leo hii Arusha imepata bahati nyingine au fursa nyingine ya kutoa nyongo au kuelezea changamoto za wananchi wake.

Mrisho Gambo aliwakilisha Serikali ya mkoa kuelezea mafanikio na changamoto za kuwaletea maendeleo wanaArusha.

Pia mbunge mteule wa Arusha Bi Magige alitumia fursa kueleza baadhi ya dukuduku za wanaaArusha.

Nimeshangaa kutokuwepo kwa mbunge wa kuchaguliwa wa jimbo la Arusha mjini katika ziara hii nyeti ili naye atumie fursa kufikisha ujumbe mbadala wa matatizo ya Arusha ...ujumbe ambao hakuwahi kuutoa bungeni au aliutoa bungeni lakini haujafanyiwa kazi.

Kwangu mimi hii ni fursa iliyopotezwa kwa makusudi na muwakilishi wa wananchi.

HOJA YANGU NI NINI HASWA?

1- Kwanini Lema ameamua kutokuwepo kwenye ziara hii na kuwawakilisha wananchi?

2- Je, jambo hili sio kuwapotezea haki ya uwakilishi watu wa Arusha?

3- Je, umuhimu wa Lema katika jimbo hili hauna maana?

4- Je, Lema alinyimwa kuwepo kwenye ziara hii au alitumiwa mualiko na akagoma kufika?

5- Je, mbunge Lema anawakilisha chama chake tu au anapaswa kuwawakilisha wananchi wote wa Arusha mjini?

6- Je, Lema ana hasira sana na polisi wa Arusha na hajali polisi waliounguliwa nyumba?

7- Je, Lema hafurahishwi na amani iliyopo Arusha kwa sasa?

8- Je, Lema amekatazwa na Chama chake kuwepo kwenye ziara hii?

9- Ama Lema anaamini katika kuwasilisha matatizo ya WanaArusha kwa wazungu mfano EU?

10- Au Lema kaona wananchi wamemkataa?

Maswali ni mengi ila jibu official linahitajika kwa wapiga kura wa Arusha juu ya hii tabia ya kususa iliyooneshwa na mbunge wao.

Pongezi kwa mbunge ole millya kwa kujitokeza jana pale Mererani na pia pongezi kwa meya wa jiji kwa kuwepo kwenye hafla hii ya polisi.
 
mtoa uzi hushangai ua la rose kuota juu ya sakafu iliyosakafiwa cement, bali unashangaa kwa nini ua lililoota juu ya sakafu ya cement maua yake yana scratches............
 
Kuna maswala kama wananchi walionyeshewa na mvua au kupigwa jua au kuamka alfajiri kupiga kura na kumchagua muwakilishi bungeni ni lazima wajiulize.

Naamini na wengi tunaamini kuwa lengo kubwa na muhimu la mbunge kama muwakilishi wa wananchi ni kufikisha hoja za wananchi wake kwa serikali na kuhakikisha zinapatiwa ufumbuzi.

Jambo hili hufanyika bungeni kwa asilimia kubwa lakini pia hufanyika pindi inapojitokeza fursa kama vile ziara za viongozi wa serikali kitaifa.

Leo hii Arusha imepata bahati nyingine au fursa nyingine ya kutoa nyongo au kuelezea changamoto za wananchi wake.

Mrisho Gambo aliwakilisha Serikali ya mkoa kuelezea mafanikio na changamoto za kuwaletea maendeleo wanaArusha.

Pia mbunge mteule wa Arusha Bi Magige alitumia fursa kueleza baadhi ya dukuduku za wanaaArusha.

Nimeshangaa kutokuwepo kwa mbunge wa kuchaguliwa wa jimbo la Arusha mjini katika ziara hii nyeti ili naye atumie fursa kufikisha ujumbe mbadala wa matatizo ya Arusha ...ujumbe ambao hakuwahi kuutoa bungeni au aliutoa bungeni lakini haujafanyiwa kazi.

Kwangu mimi hii ni fursa iliyopotezwa kwa makusudi na muwakilishi wa wananchi.

HOJA YANGU NI NINI HASWA?

1- Kwanini Lema ameamua kutokuwepo kwenye ziara hii na kuwawakilisha wananchi?

2- Je, jambo hili sio kuwapotezea haki ya uwakilishi watu wa Arusha?

3- Je, umuhimu wa Lema katika jimbo hili hauna maana?

4- Je, Lema alinyimwa kuwepo kwenye ziara hii au alitumiwa mualiko na akagoma kufika?

5- Je, mbunge Lema anawakilisha chama chake tu au anapaswa kuwawakilisha wananchi wote wa Arusha mjini?

6- Je, Lema ana hasira sana na polisi wa Arusha na hajali polisi waliounguliwa nyumba?

7- Je, Lema hafurahishwi na amani iliyopo Arusha kwa sasa?

8- Je, Lema amekatazwa na Chama chake kuwepo kwenye ziara hii?

9- Ama Lema anaamini katika kuwasilisha matatizo ya WanaArusha kwa wazungu mfano EU?

10- Au Lema kaona wananchi wamemkataa?

Maswali ni mengi ila jibu official linahitajika kwa wapiga kura wa Arusha juu ya hii tabia ya kususa iliyooneshwa na mbunge wao.

Pongezi kwa mbunge ole millya kwa kujitokeza jana pale Mererani na pia pongezi kwa meya wa jiji kwa kuwepo kwenye hafla hii ya polisi.
Hotuba zimejaa masimango na kejeli .unaenda zisikiliza ili iweje haswa !!?? Sana sana walioenda ni mujibu kwao
 
Kazi yake ni kusema bungeni na kwenye baraza la madiwani, hiyo ya majukwaani ni mkrugenzi, DC na RC elimu ya uraia hauna wewe
UONGO KAZI YAKE KUU NI KUWAKILISHA KERO ZA WANANCHI KWA SERIKALI IWE YA WILAYA,MKOA ,JIJI AU MANISPAA KWA KUWA YEYE NDIO MWAKILSHI WAO SIO KILA MWANANCHI AWEZA KWENDA KUWAKILISHA KERO HUKO. BUNGENI NI SEHEMU NDOGO TU YA KAZI YAKE
 
Mlipa mwaliko.....tuoneshe Barua ya mwaliko

Ova
Mialiko iko YA general .GENERAL NI TANGAZO LA JUMLA KUWA RAISI ATATEMBELEA ARUSHA WAKAZI WOTE WA ARUSHA MNAKARIBISHWA.Lema hilo tangazo hakulisikia? kama alilisikia na hakwenda ina maana yeye si MKAZI wa Arusha ndio maana hakwenda sababu yeye ni wa Kilimanjaro halimhusu lingekuwa linamhusu kama mkazi wa Arusha angeenda.Kwani umati ule uliofurika walipelekewa Barua kwenda?
 
Kwa kifupi majibu yote unayo labda nikuongezee swali moja hao wananchi alitakiwa kuwawakilisha kwa nani? Mungu au?
 
Kuna maswala kama wananchi walionyeshewa na mvua au kupigwa jua au kuamka alfajiri kupiga kura na kumchagua muwakilishi bungeni ni lazima wajiulize.

Naamini na wengi tunaamini kuwa lengo kubwa na muhimu la mbunge kama muwakilishi wa wananchi ni kufikisha hoja za wananchi wake kwa serikali na kuhakikisha zinapatiwa ufumbuzi.

Jambo hili hufanyika bungeni kwa asilimia kubwa lakini pia hufanyika pindi inapojitokeza fursa kama vile ziara za viongozi wa serikali kitaifa.

Leo hii Arusha imepata bahati nyingine au fursa nyingine ya kutoa nyongo au kuelezea changamoto za wananchi wake.

Mrisho Gambo aliwakilisha Serikali ya mkoa kuelezea mafanikio na changamoto za kuwaletea maendeleo wanaArusha.

Pia mbunge mteule wa Arusha Bi Magige alitumia fursa kueleza baadhi ya dukuduku za wanaaArusha.

Nimeshangaa kutokuwepo kwa mbunge wa kuchaguliwa wa jimbo la Arusha mjini katika ziara hii nyeti ili naye atumie fursa kufikisha ujumbe mbadala wa matatizo ya Arusha ...ujumbe ambao hakuwahi kuutoa bungeni au aliutoa bungeni lakini haujafanyiwa kazi.

Kwangu mimi hii ni fursa iliyopotezwa kwa makusudi na muwakilishi wa wananchi.

HOJA YANGU NI NINI HASWA?

1- Kwanini Lema ameamua kutokuwepo kwenye ziara hii na kuwawakilisha wananchi?

2- Je, jambo hili sio kuwapotezea haki ya uwakilishi watu wa Arusha?

3- Je, umuhimu wa Lema katika jimbo hili hauna maana?

4- Je, Lema alinyimwa kuwepo kwenye ziara hii au alitumiwa mualiko na akagoma kufika?

5- Je, mbunge Lema anawakilisha chama chake tu au anapaswa kuwawakilisha wananchi wote wa Arusha mjini?

6- Je, Lema ana hasira sana na polisi wa Arusha na hajali polisi waliounguliwa nyumba?

7- Je, Lema hafurahishwi na amani iliyopo Arusha kwa sasa?

8- Je, Lema amekatazwa na Chama chake kuwepo kwenye ziara hii?

9- Ama Lema anaamini katika kuwasilisha matatizo ya WanaArusha kwa wazungu mfano EU?

10- Au Lema kaona wananchi wamemkataa?

Maswali ni mengi ila jibu official linahitajika kwa wapiga kura wa Arusha juu ya hii tabia ya kususa iliyooneshwa na mbunge wao.

Pongezi kwa mbunge ole millya kwa kujitokeza jana pale Mererani na pia pongezi kwa meya wa jiji kwa kuwepo kwenye hafla hii ya polisi.
aliwakilishwa na meya wa jiji la arusha
 
Kwani ilikuwa ni sehemu ya kuwasilisha issues za wanaArusha?

Nimekuambia ww umeshakua mjinga. Jana ilikuwa ni siku ya wabunge kuwakilisha matatizo ya wana Arusha? Matatizo ya wana Arusha yanawakilishwa sehemu rasmi ambapo ni bungeni. Jana rais aliamua kuchomekea kutoa ile nafasi ya wabunge akiwa na ajenda yake binafsi na sio kutatua matatizo ya wana Arusha kwana yapo tayari bungeni. Kama kweli hafla kama zile ndio fursa za wabunge kusemea matatizo ya wananchi wa eneo husika, basi angempa Ole Millya nafasi alipokuwa anazindua ukuta wa Mererani.

Hapo mlaumu rais kwa kufanya siasa kinyume na utaratibu. Ukitaka kujua alichofanya jana kuita hao wabunge ni ajenda binafsi ngoja ikifika 2020 nitakuuliza unipe jibu kama tatizo la hao wafanyakazi wa 77 waliosemewa na mbunge wa viti maalim kama hilo tatizo lao litakuwa limetatuliwa. Kama alikuwa na nia njema na sio ajenda zake, basi angempa nafasi Meya kuzungumza maana alimuita pale mbele. Leo Lema yuko kwenye hafla ya kumsimika Askofu wa jimbo la Arusha ambapo pia Magufuli yupo, na Lema kahudhuria maana ni eneo lake na anafahamu hakuna nafasi ya siasa za majitaka kufanyika.
 
Ukikosa hoja lazima usikie aibu tu, kama mambo yanakwenda fresh na huna la kupinga inabidi ujifungie na mkeo home tu..
 
Kuna maswala kama wananchi walionyeshewa na mvua au kupigwa jua au kuamka alfajiri kupiga kura na kumchagua muwakilishi bungeni ni lazima wajiulize.

Naamini na wengi tunaamini kuwa lengo kubwa na muhimu la mbunge kama muwakilishi wa wananchi ni kufikisha hoja za wananchi wake kwa serikali na kuhakikisha zinapatiwa ufumbuzi.

Jambo hili hufanyika bungeni kwa asilimia kubwa lakini pia hufanyika pindi inapojitokeza fursa kama vile ziara za viongozi wa serikali kitaifa.

Leo hii Arusha imepata bahati nyingine au fursa nyingine ya kutoa nyongo au kuelezea changamoto za wananchi wake.

Mrisho Gambo aliwakilisha Serikali ya mkoa kuelezea mafanikio na changamoto za kuwaletea maendeleo wanaArusha.

Pia mbunge mteule wa Arusha Bi Magige alitumia fursa kueleza baadhi ya dukuduku za wanaaArusha.

Nimeshangaa kutokuwepo kwa mbunge wa kuchaguliwa wa jimbo la Arusha mjini katika ziara hii nyeti ili naye atumie fursa kufikisha ujumbe mbadala wa matatizo ya Arusha ...ujumbe ambao hakuwahi kuutoa bungeni au aliutoa bungeni lakini haujafanyiwa kazi.

Kwangu mimi hii ni fursa iliyopotezwa kwa makusudi na muwakilishi wa wananchi.

HOJA YANGU NI NINI HASWA?

1- Kwanini Lema ameamua kutokuwepo kwenye ziara hii na kuwawakilisha wananchi?

2- Je, jambo hili sio kuwapotezea haki ya uwakilishi watu wa Arusha?

3- Je, umuhimu wa Lema katika jimbo hili hauna maana?

4- Je, Lema alinyimwa kuwepo kwenye ziara hii au alitumiwa mualiko na akagoma kufika?

5- Je, mbunge Lema anawakilisha chama chake tu au anapaswa kuwawakilisha wananchi wote wa Arusha mjini?

6- Je, Lema ana hasira sana na polisi wa Arusha na hajali polisi waliounguliwa nyumba?

7- Je, Lema hafurahishwi na amani iliyopo Arusha kwa sasa?

8- Je, Lema amekatazwa na Chama chake kuwepo kwenye ziara hii?

9- Ama Lema anaamini katika kuwasilisha matatizo ya WanaArusha kwa wazungu mfano EU?

10- Au Lema kaona wananchi wamemkataa?

Maswali ni mengi ila jibu official linahitajika kwa wapiga kura wa Arusha juu ya hii tabia ya kususa iliyooneshwa na mbunge wao.

Pongezi kwa mbunge ole millya kwa kujitokeza jana pale Mererani na pia pongezi kwa meya wa jiji kwa kuwepo kwenye hafla hii ya polisi.
Matatizo ya wananchi nafikiri mbunge atawasilisha bungeni kwa mujibu wa sheria, au labda tuijue sababu kwa nini hakuwepo
 
Lema kweli si kiongozi kama walivyo Wabunge wenzake wa CHADEMA ambao wanataka mikutano ya hadhara ati kwa ajili ya kuikosoa Serikali.

Wanadai pia, kwenye vyombo vya habari kwamba ni Serikali isiyotaka kukosolewa. Najiuliza, kama Wabunge, na kuwepo Bunge, maana yake ni nini. Maana ukifuatilia yanayojiri Bungeni, Serikali inashambuliwa vikali sana na Wabunge wa Chama Tawala.

Na pia Wabunge wa upinzani ni moto wa kuotea mbali kwa kuishambulia Serikali bungeni.

Inakuwaje Wabunge hao hao watimize wajibu wao nje ya Bunge wakati Ibara ya 100 ya Katiba ya JMT (1977) imewapa mamlaka? Agenda yao hasa ni nini?

Nihitimishe kwa kusema tu kitendo cha Wabunge wa CHADEMA kutokuhudhuria sherehe za leo, ni uthibitisho wa wao kuwa na agenda zao binafsi za siri. Leo walivyopewa nafasi ya kusalimia wapiga kura wao, na Rais, kama wangekuwepo wangeitumia nafasi hiyo kuchomekea yanayowakera badala ya kila mara kukimbilia kwenye vyombo vya habari, au kujirekodi na kurusha kwenye mitandao ya kijamii. SIASA ZA KITOTO.

Punguza kula mbaazi mkuu. Tatizo la Lema na wana arusha ni udikteta na ukandamizaji wa democrasia. Umeshawahi jiuliza kwanini kila anapoenda mkulu na viongozi wa serikali wanachama wa ccm wanakuwepo na sare za ccm na polisi hawanaugomvi nao. Unadhani hamna kabisa watu wa vyama vingine? Je unafikiri angetimba Lema na wanachama wa chadema pale nini kingetokea!? Au unataka kusema kuvaa sare za vyama vya upinzani mbele ya raisi na polisi ni kosa la jinai!!
 
Kuna maswala kama wananchi walionyeshewa na mvua au kupigwa jua au kuamka alfajiri kupiga kura na kumchagua muwakilishi bungeni ni lazima wajiulize.

Naamini na wengi tunaamini kuwa lengo kubwa na muhimu la mbunge kama muwakilishi wa wananchi ni kufikisha hoja za wananchi wake kwa serikali na kuhakikisha zinapatiwa ufumbuzi.

Jambo hili hufanyika bungeni kwa asilimia kubwa lakini pia hufanyika pindi inapojitokeza fursa kama vile ziara za viongozi wa serikali kitaifa.

Leo hii Arusha imepata bahati nyingine au fursa nyingine ya kutoa nyongo au kuelezea changamoto za wananchi wake.

Mrisho Gambo aliwakilisha Serikali ya mkoa kuelezea mafanikio na changamoto za kuwaletea maendeleo wanaArusha.

Pia mbunge mteule wa Arusha Bi Magige alitumia fursa kueleza baadhi ya dukuduku za wanaaArusha.

Nimeshangaa kutokuwepo kwa mbunge wa kuchaguliwa wa jimbo la Arusha mjini katika ziara hii nyeti ili naye atumie fursa kufikisha ujumbe mbadala wa matatizo ya Arusha ...ujumbe ambao hakuwahi kuutoa bungeni au aliutoa bungeni lakini haujafanyiwa kazi.

Kwangu mimi hii ni fursa iliyopotezwa kwa makusudi na muwakilishi wa wananchi.

HOJA YANGU NI NINI HASWA?

1- Kwanini Lema ameamua kutokuwepo kwenye ziara hii na kuwawakilisha wananchi?

2- Je, jambo hili sio kuwapotezea haki ya uwakilishi watu wa Arusha?

3- Je, umuhimu wa Lema katika jimbo hili hauna maana?

4- Je, Lema alinyimwa kuwepo kwenye ziara hii au alitumiwa mualiko na akagoma kufika?

5- Je, mbunge Lema anawakilisha chama chake tu au anapaswa kuwawakilisha wananchi wote wa Arusha mjini?

6- Je, Lema ana hasira sana na polisi wa Arusha na hajali polisi waliounguliwa nyumba?

7- Je, Lema hafurahishwi na amani iliyopo Arusha kwa sasa?

8- Je, Lema amekatazwa na Chama chake kuwepo kwenye ziara hii?

9- Ama Lema anaamini katika kuwasilisha matatizo ya WanaArusha kwa wazungu mfano EU?

10- Au Lema kaona wananchi wamemkataa?

Maswali ni mengi ila jibu official linahitajika kwa wapiga kura wa Arusha juu ya hii tabia ya kususa iliyooneshwa na mbunge wao.

Pongezi kwa mbunge ole millya kwa kujitokeza jana pale Mererani na pia pongezi kwa meya wa jiji kwa kuwepo kwenye hafla hii ya polisi.
TAFAKARI HILI LABDA UTAPATA MAJIBU YA HOJA YAKO.
Kiitifaki wabunge walitakiwa watambulishwe na kupewa nafasi ya kuongea na nani?
Kwa nini wabunge waongee wakati mheshimiwa RAIS amesimama?
Je wabunge wote wa mkoa wangekuwepo mheshimiwa angeruhusu waongee kama walivyoongea hao watatu?

Ustangulize lawama kwani hujui kuwa vikao vya bunge vinaendelea Dodoma?

Vilevile tambua kuwa kila jambo hupangwa kabla ya kufanywa.
 
TAFAKARI HILI LABDA UTAPATA MAJIBU YA HOJA YAKO.
Kiitifaki wabunge walitakiwa watambulishwe na kupewa nafasi ya kuongea na nani?
Kwa nini wabunge waongee wakati mheshimiwa RAIS amesimama?
Je wabunge wote wa mkoa wangekuwepo mheshimiwa angeruhusu waongee kama walivyoongea hao watatu?

Ustangulize lawama kwani hujui kuwa vikao vya bunge vinaendelea Dodoma?

Vilevile tambua kuwa kila jambo hupangwa kabla ya kufanywa.
Leo lema katokea Kanisani...naona kapewa ushauri
 
Punguza kula mbaazi mkuu. Tatizo la Lema na wana arusha ni udikteta na ukandamizaji wa democrasia. Umeshawahi jiuliza kwanini kila anapoenda mkulu na viongozi wa serikali wanachama wa ccm wanakuwepo na sare za ccm na polisi hawanaugomvi nao. Unadhani hamna kabisa watu wa vyama vingine? Je unafikiri angetimba Lema na wanachama wa chadema pale nini kingetokea!? Au unataka kusema kuvaa sare za vyama vya upinzani mbele ya raisi na polisi ni kosa la jinai!!
Mnajijengea unafiki mioyoni mwenu tu. Ebu turejee madai yenu wafuasi wa hao watukufu wenu:
1) Kuvaa sare za chama chenu popote, je, mmekatazwa?
2) Kelele na matusi ya kukosoa humu jamvini, siyo matumizi mabaya ya haki na uhuru mnaodai?
3) Kosoa kosoa za wabunge bungeni, siyo demokrasia hiyo?
4) Matumizi ya vyombo vya habari kwa kila aina ya maneno na lugha dhidi ya Serikali, haitoshi kufikisha ujumbe wenu?

Demokrasia ipi mnahitaji? Haki na uhuru gani mnahitaji?
 
Back
Top Bottom