Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,375
- 161,378
Hahahalakini mamy km unakauzoefu vile !!!!!!!!!teh teh teh
Tulia bhanaa, naiga kwako ujue
Hahahalakini mamy km unakauzoefu vile !!!!!!!!!teh teh teh
Mwanamke Akiwa Na Mchepuko Ndani Ya Wiki Tu Lazima Umgundue Labda Uwe Zezeta Wa Kiwango Cha Standard Gauge, Wanawake Wana Roho Ngumu Sana
Kikikosekana kimoja to hapohehehehe na usiwe mbinafsi !teh teh !
Mara nyingi wanawake wanacheat for love, wanaume for sex....... Soo
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh hii nshakutana nayo pia sio mara moja, nadhani ni kawaida ya kila mwanamke asipopata sexual and emotional satisfaction. Ingawa wachache hu cheat kwa kuwa ni malaya wa kuzaliwa.hapana kapeace mwanamke akishacheat 99%huwa anabadilika !asipobadilika huyo MZOEFU ! thts y ni bora usicheat !inasumbua sana kurud kwenye reli shoga !
Mwanamke akienda cheat anajenga kibanda kabisa, akili na hisia zote za mapenzi anahamishia kule hata kama alikuwa hana nia hiyo.Habari wakuu,
Kuna mkasa umetokea leo kwa jamaa yangu na imekua incident kama ya saba hivi yenye kufanana kuisikia.
Ni kwamba jamaa analalamika kuwa mke wake alibadilika ghafla tabia na baada ya kufanya uchunguzi alikuja kugundua kuwa anatembea na boss wake kazini na alipojaribu kumbananisha mwanamke kampandishia kuwa wavunje ndoa.
Hii experience ya mwanamke kubadilika tabia anapoanza kuchepuka nimekutana nayo mara nyingi ila kwa upande wa wanaume ni tofauti, wengi tuna michepuko ya hapa na pale lakini ni mara chache sana kusikia kuwa michepuko imemfanya mwanaume abadilike kitabia(ndani ya ndoa/mahusiano)
Kwa upande wangu nimewahi kusikia mara moja tu.
Swali ni kwamba, ni nini kinapelekea hiyo tofauti? Au ndo mwanaume mashine?
Duh hii nshakutana nayo pia sio mara moja, nadhani ni kawaida ya kila mwanamke asipopata sexual and emotional satisfaction. Ingawa wachache hu cheat kwa kuwa ni malaya wa kuzaliwa.
Unataka kuleta ubishi na mashindano ya kitoto ya jinsiaWanaume ndo mnaongoza kwa kubadilika tabia kuliko wanawake mi navyoona
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha
Tulia bhanaa, naiga kwako ujue
Unataka kuleta ubishi na mashindano ya kitoto ya jinsia