Grey256
JF-Expert Member
- Sep 1, 2016
- 1,206
- 2,495
Habari wakuu,
Kuna mkasa umetokea leo kwa jamaa yangu na imekua incident kama ya saba hivi yenye kufanana kuisikia.
Ni kwamba jamaa analalamika kuwa mke wake alibadilika ghafla tabia na baada ya kufanya uchunguzi alikuja kugundua kuwa anatembea na boss wake kazini na alipojaribu kumbananisha mwanamke kampandishia kuwa wavunje ndoa.
Hii experience ya mwanamke kubadilika tabia anapoanza kuchepuka nimekutana nayo mara nyingi ila kwa upande wa wanaume ni tofauti, wengi tuna michepuko ya hapa na pale lakini ni mara chache sana kusikia kuwa michepuko imemfanya mwanaume abadilike kitabia(ndani ya ndoa/mahusiano)
Kwa upande wangu nimewahi kusikia mara moja tu.
Swali ni kwamba, ni nini kinapelekea hiyo tofauti? Au ndo mwanaume mashine?
Kuna mkasa umetokea leo kwa jamaa yangu na imekua incident kama ya saba hivi yenye kufanana kuisikia.
Ni kwamba jamaa analalamika kuwa mke wake alibadilika ghafla tabia na baada ya kufanya uchunguzi alikuja kugundua kuwa anatembea na boss wake kazini na alipojaribu kumbananisha mwanamke kampandishia kuwa wavunje ndoa.
Hii experience ya mwanamke kubadilika tabia anapoanza kuchepuka nimekutana nayo mara nyingi ila kwa upande wa wanaume ni tofauti, wengi tuna michepuko ya hapa na pale lakini ni mara chache sana kusikia kuwa michepuko imemfanya mwanaume abadilike kitabia(ndani ya ndoa/mahusiano)
Kwa upande wangu nimewahi kusikia mara moja tu.
Swali ni kwamba, ni nini kinapelekea hiyo tofauti? Au ndo mwanaume mashine?