inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 18,001
- 18,292
wanawake wanapenda adventure
Wanaume ndo mnaongoza kwa kubadilika tabia kuliko wanawake mi navyoona
Sent using Jamii Forums mobile app
Mara nyingi wanawake wanacheat for love, wanaume for sex....... Soo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanamke anapoamua kucheat ujue kuna jambo nyuma ya pazia limemfika pomoni, na akicheat hupenda mazima yaaani anahamisha akili na upendo kwa mchepuko. Sasa shida ndo inaanzia hapo, kumuona mumewe ka kakake tu. Ni vyema wanandoa kutatua changamotoo za ndani mwenu mapema
Tupo tuna fuatilia mjadala huu Kwa ukaribu sana.
Mwanamke anapoamua kucheat ujue kuna jambo nyuma ya pazia limemfika pomoni, na akicheat hupenda mazima yaaani anahamisha akili na upendo kwa mchepuko. Sasa shida ndo inaanzia hapo, kumuona mumewe ka kakake tu. Ni vyema wanandoa kutatua changamotoo za ndani mwenu mapema
Ukiwa na mwanamke mrembo anayetamanisha jitaidi Sana uwe na hela na kitandani uwe safi tena safi hasa yaani usugue haswa,
Ukikosa kimoja wapo hapo ni sawa na kutembea na sumu mdomoni!
kwa sababu kila wanandoa wakizinguana wanatishia kuachana,
Mimi nimeanza kujenga kanyumba kangu, baadhi ya vifaa nabadilisha umiliki na kuweka jina LA baba.
ova
Ukiwa na mwanamke mrembo anayetamanisha jitaidi Sana uwe na hela na kitandani uwe safi tena safi hasa yaani usugue haswa,
Ukikosa kimoja wapo hapo ni sawa na kutembea na sumu mdomoni!
Hapa siwezi kusema chochote
Ngoja nisubirie ya kwangu. Ila siombi mabadiliko katika ndoa Yangu.
Mungu aniepushe
Sasa wewe jichanganye kama ujarudi hapa unahema kama swala aliyekoswakoswa na simba.Ee bwanaee Acha kututisha!!! Kukosa au Kupata ni majaliwa ila kuwa na mke mrembo ni shuruti!!!!
ruby wa Jf ndiyoRuby huyu huyu au ?
Unajua kinachowaponza vijana wengi ni kutamani kuwa na wasichana warembo huku hela za kuunga unga,hehehehe na usiwe mbinafsi !teh teh !