Kwanini kunguru akifa hatoki funza?

Kweli mm nilishuhudia fundi anashika waya live bila wasi nikachoka nikamuuliza akanijibu something to do with conductivity au Earthing sikumbuki vzr.
Sasa naww muige mwenzio alishika waya wa Earth
 
Sio bacteria mkuu, kuna kitu kingine kinaitwa rusting

Hebu niambie basi kwa nini plastic yenyewe haipotei na kubadilika kuwa udongo?
 
Kweli mm nilishuhudia fundi anashika waya live bila wasi nikachoka nikamuuliza akanijibu something to do with conductivity au Earthing sikumbuki vzr.
Alikudanganya huyo .. alisha earth wire or neutral.. kwa kuwa ww ulikimbia kusoma science.. ukakubak
 
Ning'inia ww uone acha kutulisha matango pori cc siyo kunguru hakuna cha kanuni
Sio kunguru tu ndege aina kibao hununginia katika izo Transmission lines, Wapo popo pia ambao hufanya mistake na kukaukia pale pale iko hivi umeme huleta short indapo tu utapata sehemu ya kuflow yenye utafauti wa voltage, Ndege wale hukaa ktk phase moja tu ambayo ina same volts incase aka gusa phase au ground ingine awe kunguru au kuku atapigwa tu mana atakuwa ametengeneza pass ya kupitisha umeme from high to low concentration region
 
kwel kuhusu elimu ya umeme unaweza kushika waya wa live wa umeme na usipigwe shot inatakiwa usitetemeahe mkono endapo utatetemesha ulivyo ushika usipo kufa utazimia.kunguru anapigwa shot kwenye mabawa yake akiruka vibaya analambwa shot.
Mkuu ukiwa kwenye equal potential shock haiwezi kukupiga kamwe watu wengi hupigwa na short kwa vile hukamilisha circuit kwa kukanyaga au kugusa sehemu yingine ambayo hu act kama ground, Insulation ya kunguru miguuni kamwe haiwezi kuzuia 132Kv au 400Kv High voltage ktk pylon (Grid)
 
Bora umenisaidia mkuu vijana hawaamini kabisa swala hili
 
kwel kuhusu elimu ya umeme unaweza kushika waya wa live wa umeme na usipigwe shot inatakiwa usitetemeahe mkono endapo utatetemesha ulivyo ushika usipo kufa utazimia.kunguru anapigwa shot kwenye mabawa yake akiruka vibaya analambwa shot.
Hili nimeshudia sana kwenye plant moja ya umeme,sema ile miguu yake ina magamba magumu ambayo huact kama insulator hivyo umeme hushindwa kupenya.Pia akifa wadudu humshambulia(funza weupe) isipokua nzi ndo hawamsogelei.
 
Hili nimeshudia sana kwenye plant moja ya umeme,sema ile miguu yake ina magamba magumu ambayo huact kama insulator hivyo umeme hushindwa kupenya.Pia akifa wadudu humshambulia(funza weupe) isipokua inzi ndo hawamsogelei.
Mkuu magamba ya kunguru si chochote katika umeme wa msongo wa kati medium voltage kati ya 11kV au 33kv au msongo wa juu 132kV mpaka 400Kv kinachomlinda kunguru na ndege wengine nimekieleza juu apo, hio insulation yake miguuni labda katika low voltage 250v mpaka 450v
 
Bora umenisaidia mkuu vijana hawaamini kabisa swala hili
Mkuu hawa vijana wa siku hizi anaweza kukubishia jambo sio kwamba ana ujuzi nalo au ana ufahamu nalo bali wameshakua na ile mentality kua kuchangia hoja jf ni "kubishana" au "kumkejeli" mchangiaji!!

Yaani unakuta mtu anabisha kitu bila hata yeye kuweka ukweli wake?! Hoja hupingwa kwa hoja.
 
Uko sahihi kabisa Mkuu.
 
Mkuu hawa vijana wa siku hizi anaweza kukubishia jambo sio kwamba ana ujuzi nalo au ana ufahamu nalo bali wameshakua na ile mentality kua kuchangia hoja jf ni kubishana,sasa unakuta mtu anabisha kitu bila hata yeye kuweka ukweli wake?!
Ni hatari sana mkuu, Sikuhzi vyazo vya kupata maarifa viko open sana vijana kusoma hatutaki tena kila jambo ni la kuchangia kwa mihemko ya kisiasa, Anyway mkuu nikutakie Usiku mwema.
 
We uctudanganye umeme hauna mwenyewe shoti lazima
Ukishika waya mmoja na hujagusana na ardhi au umevaa viatu haupigwi shoti!.
Tanesco wanatumia sana mbinu hii kuhamisha nyaya za nguzo zilizoanguka etc
 
Damu yake ina sumu kali sana kiasi akifa hakuna bacteria ambaye anamsogelea na hivyo kutooza zaidi,

Kunguru hukauka tu na huwezi kuona INZI akimsogelea kunguru hata siku moja, kwani ana sumu kali sana akiwa mzoga.
Duh kumbe,

Vipi kuhusu anavyobembea kwenye nyaya za umeme bila kurushwa, hio nayo inayokana na nini?
 
Kiumbe yoyote akifa anaoza then funza wanamshambulia lakini kwa kunguru ni tofauti nimeshuhudia kunguru mfu wengi lakini sijaona funza, huyu kunguru ana nini?!
kipindi cha nuhu alitumwa atoke nje ya safina akaangalie hali ipoje akatokomea kwa kunogewa na mizoga akalaaniwa vivyo hivyo firauni nayy mzoga wake ulilaaniwa hata wadudu wasiusogelee kama ilivyo kwa kunguru na hadi leo mzoga wake upo kamili gado....naweza kusahihishwa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…