Kwanini kuna watu hawaheshimu "personal space"?

Kwanini kuna watu hawaheshimu "personal space"?

Nimekuja sehemu msibani, nimekaa kwenye kiti, amekuja jamaa ameweka kitu chake kinagusana kabisa na kiti changu, huku mabega yake yakikutana na yangu.

Nikakausha, sasa jamaa anapiga story anajisahau anakugusa miguuni, hii kitu ni very awkward. Nashindwa kumuelewa huyu jamaa yeye anaona kawaida au anamatatizo hanastarabika?
Una tako kubwa?
 
Mkuu kuna watu ustaarabu ni zero kabisa na wao wanaona kitu cha kawaida mno. Umekaa zako umetulia huna baya na mtu unashangaa unashtuliwa kwa kofi eti wee mbona umezubaa na mtu hamna mazoea kabisa hamfahamiani
 
downloadfile~3.jpg
 
Nimekuja sehemu msibani, nimekaa kwenye kiti, amekuja jamaa ameweka kitu chake kinagusana kabisa na kiti changu, huku mabega yake yakikutana na yangu.

Nikakausha, sasa jamaa anapiga story anajisahau anakugusa miguuni, hii kitu ni very awkward. Nashindwa kumuelewa huyu jamaa yeye anaona kawaida au anamatatizo hanastarabika?
Just learn the way of the world as it is not the way you just wish it to be.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom